MAKONDA, GWAJIMA USO KWA USO KWA KARDINALI PENGO
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima kwa pamoja wamemtembelea Kadrinali Pengo mapema leo.
View attachment 1577160
View attachment 1577080
View attachment 1577083
Yaani mzee huyu naye anakubali kutapeliwa kisiasa aondoke wakatoliki tumesha mchoka sana