Uchaguzi 2020 Hatimaye Gwajima, Pengo na Makonda Wamekutana Pamoja kwa furaha kubwa

Uchaguzi 2020 Hatimaye Gwajima, Pengo na Makonda Wamekutana Pamoja kwa furaha kubwa

... sasa nimethibitisha pasi na shaka Kardinali Pengo alikuwa na kadi since then! He wasn't neutral as he was supposed to be but, rather, was not only politically affiliated but also morally and materially supported the party. He is, as he was, actively supporting the party.

But in the Multi party democracies doesn’t mean that religious leaders leave their political biases, religious bigotries and political ideologies at the door. No – that’s not humanly possible when Bishops interpret the bible to polical relevance. Remember how Churches by using Bible supported apartheid in South Africa.

Bishops are inherently political beings. That’s why churches are political institutions. Chuches are an arm of the state, which is a political institution.

That’s why good Bishops often predict how certain Political leaders will address issues based on their ideology and political philosophy.

In the Christian Churches and organisations in our Country, like all other churches orgarnisations world over, Bishops harbour ideological biases.
 
Kwani Pengo ni nani kwa sasa?
Huyo hana impact yoyote tena Jimbo kuu la Dar. Ni muumini wa kawaida tuu..

Acha kabisa kupotosha waumini, tena acha kabisa mambo ya dini kuyafanyia mizaha mizaha.

Yeye ni -- His Eminence Cardinal emeritus of Dar es salaam.
Na ni Cardinal - Priest of Nostra Signora La Sallete

Huyu kwa ki katoliki sio muumini wa kawaida. Usirukie madhehebu usiyo yajua au Huaamini huko, tafadhali.
 
Wote hao siwaungi mkono hata kura yangu hawapati, halima mdee na gwajima. Huyo gwajima anawachukia sana waislamu, nitashangaa waislamu wakishiriki kuwapigia kura jimbo hilo.
 
Kanisa Moja Takatifu Katoliki La Mitume la Kimisionari linaupa kipaumbele Msamaha. Msamaha hujenga Upendo.
Hakika. Sasa sijajua hapo nani kaenda kumsamehe mwingine. Ni Makonda anamsamehe Gwajima ama Gwajima anamsamehe Makonda? Nauliza kwa sababu Kardinali Pengo alishamsaheme kitambo sana Gwajima alipomtusi
 
Waswahili tuna msemo usemao kuwa hakuna mwanadamu anaye ijua kesho yake.

Yale maneno ya kejeli yaliyosemwa na GWAJIMA dhidi ya Kardinari Pengo leo hii yamemtesa hadi kufikia hatua ya kwenda kumpigia magoti.

Hakika Gwajima atajuta sana kujiingiza kwenye mambo ya siasa. View attachment 1577091

Sent using Jamii Forums mobile app
Anamsumbua bure tu Kardinal Pengo. Kama anafikiri kwenda kumuona ndo atapata jimbo asahau. Atuombe msamaha hadharani wakatoliki tuliochukizwa na kitendo cha kumdhalilisha kiongozi wetu wa hadhi ya juu namna hiyo na tutakacho msaidia ni msamaha tu lakini sio Ubunge.
 
Anamsumbua bure tu Kardinal Pengo. Kama anafikiri kwenda kumuona ndo atapata jimbo asahau. Atuombe msamaha hadharani wakatoliki tuliochukizwa na kitendo cha kumdhalilisha kiongozi wetu wa hadhi ya juu namna hiyo na tutakacho msaidia ni msamaha tu lakini sio Ubunge.
Amina kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wawili ni majanga kwa taifa letu..

Kawe kataeni utapeli unaotaka kuja kwenu.
 
... sasa nimethibitisha pasi na shaka Kardinali Pengo alikuwa na kadi since then! He wasn't neutral as he was supposed to be but, rather, was not only politically affiliated but also morally and materially supported the party. He is, as he was, actively supporting the party.
Hana Cha kupoteza Tena huyo mzee

Anangoja tu astaafu huo ukadinali alio nao ambao hawawezi mvua [emoji2]

Sisi wakatoliki Wala hatuna habari nae tuko na Ruwaichi
 
habari mbaya sana hii kwetu "hater" wa JamiiForums!
 
habari mbaya sana hii kwetu "hater" wa JamiiForums!
 
habari mbaya sana hii kwetu "hater" wa JamiiForums!
 
Siasa ina dela na vitu vidogo vidog sana kwa ajili ya kubadiri mind sets za watu; as far as i know Gwajima hakua na ugomvi binafsi na Pengo (samahani sijaanza na vyeo vyao vya kidini hawa watu kwasababu zangu binafsi) walishana kwenye mambo ambayo mwanzoni walikua wamekubaliana kwenye vikao vyao vya dini, yaani Pendo alikua kakubaliana na viongozi wenzie wa RC then walikuja kukubaliana baadae kama Wakristo wote na Gwajima akiwepo, so Gwajima alimlalamikia Pengo kubadiri maamuzi ya pamoja; kwa mtazamo pia, GWajima alikua na ugomvi binafsi na RC wa Dar wa wakati huo, issue ilianzia kwenye ngada, baadae Gwajima akatwambia kwamba dogo anamuonea wivu yeye akidhani yeye atagombea ubunge, na pale ndio alipotwambia kwamba ubunge, uwazi na uraisi ni vyeo vidogo sana kwake, kazi aliyonayo ni kubwa kuliko hivyo (kitu ambacho hata mimi naamini hivyo ), sasa ndio sielewi ni kwanini leo tena kagombea vyeo vile vile alivyoviona kama vidogo (ndio sababu mojawapo ilionifanya nisianze na neno ASKOFU kwake) ANyway, waliosema siasa ni mchezo mchafu hawakukosea; sijui kanisani kwake anahubirije kwa sasa, sijui kwa kweli cause kalamba sana MATAPISHI; nitaendelea kumheshim KAKOBE though simfahamu kwa kumuona hivi ana kwa ana
 
Back
Top Bottom