Hatimaye hamasa ya Tsh 1.4 Bilioni ya Serikali ya Rais Samia kwa Taifa Stars yafanikisha waende tu kutalii na Bombardier Madagascar wikiendi hii

Hatimaye hamasa ya Tsh 1.4 Bilioni ya Serikali ya Rais Samia kwa Taifa Stars yafanikisha waende tu kutalii na Bombardier Madagascar wikiendi hii

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tanzania ndio kwaheri World Cup 2022 atakaye songa mbele kwenye hili kundi ataamuliwa Kinshasa siku ya jumapili kati ya Congo DR na Benin.

Atakayeshinda mechi hiyo ndio ataenda kwenye playoff na wakitoka sare Benin itafuzu kwenda playoff. Mechi ya Tanzania na Madagascar itakuwa ya kukamilisha ratiba tu na haitakuwa na maana yoyote.


Nikiwa kama Mdau na Mzalendo wa Tanzania KEROZENE nichukue nafasi hii Kumshukuru Rais Samia kwa Kupoteza bure tu hizi Pesa zote ambazo huenda angezielekeza Kwingineko kunakohitaji Maendeleo zingefanikisha.

Pia nichukue nafasi hii ya dhati kabisa Kuwashukuru na Kuwapongeza Waandamizi hawa Wawili Waziri Mkuu Majaliwa na Katibu Mkuu Wizara ya Michezo Dk. Abbas kwa Kutuongopea na Kututia Moyo Kipuuzi Watanzania kuwa mwakani 2022 tutakuwa Kombe la Dunia nchini Qatar.

Wakisahau kuwa Kombe la Mataifa Huru tu ya Afrika limetuhenyesha kwa zaidi ya Miaka 30 mpaka pale Hayati 'Mkemia Mbishi' alivyompigia Magoti Rais Museveni ili Uganda itulegezee tushinde nasi tushiriki na Serikali yake na Chama chake Tawala cha CCM kipate Sifa.
 
Wachezaji wa Taifa Stars pamoja na Benchi lao la Ufundi kwakuwa wanaelekea Kisiwani Madagascar wanaweza wakaianza Safari leo kwa Basi kwenda Mtwara Kisha wakifika watapanda Ngalawa au Mitumbwi ambayo itawapeleka Bahari kwa Bahari hadi Mjini Antananarivo.
 
Nchi hiyi hatuko serious
Pic%20Layer_20211111131418277.jpg
 
Ndio mpira huo, tuwekeze kwenye soka la vijana na tujikite zaidi kuhakikisha tunashiriki michuano ya Chan na Afcon mara nyingi tuwezavyo maana nafasi za washiriki ni nyingi, hayo ya kombe la dunia yatakuja tu ila yanahitaji muda mrefu.
 
Tanzania is not a footballing country, if anything I stand to be corrected. Furthermore, the frequent government's trend of blending politics with the sport adds salt to a raw wound.

Unless the government officials stopped using sport as a tool for mobilizing the waning political support from the disenchanted people, the level of soccer in this country will continue to drop dramatically.
 
Back
Top Bottom