Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Sura yake haiendani na umri anausema nadhani anakaribi 30 sema vipodozi zinambeba lakini naamini ukikutana naye ndo katoka kuamka unaweza ukamkimbiaUsisahau umri huo ana watoto wawili wa baba tofauti, maisha yake complex sana kama nyeti za mwanamke hayaeleweki hata kwa calculator
View attachment 874315
Shkamoo editing, ukitaka kuonekana kama kiroba cha unga umependa mwenyewe tu.
hahaaYupo hana raha aljua zari atafungwa ha ha ha
Aliacha Shule kidato cha pili....Siku moja wakati bado nina account ya instagram nilifuatilia account ya huyu dada....nikaona baadhi ya vitu alivyoandika nikagundua SHULE LESS nikamshusha vyeo mpaka sishangai chochote juu yake. Shule muhimu sana hapa Tanzania. Mbele huko ndo kuna celebs hawana shule tu na akili zao zimetulia.
Kuna watu wanafurahia sana magumu na mapito ya watu, kibaya zaidi watu hawahawa wanachukizwa na maendeleo ya mtu.
Let the past stay where it belongs
Wakishajipaka Puti usoni huwa wanajiona watoto sana.Hiyo sura siyo ya miaka 23, wanawake huwa hawapendi kuwa wakubwa naona kama anakaribia 30 miaka
Wanaume ndio maana tunatembea uchi na kuokota makopo
Sasa upate mademu watatu wa hivi dua tatu sikuijie si ma file ya windows kwenye ubongo yana corrupt yote
wordKuna watu wanafurahia sana magumu na mapito ya watu, kibaya zaidi watu hawahawa wanachukizwa na maendeleo ya mtu.
Hamisa ni mwanadamu ana mapungufu lakini watu wanatumia mapungufu yake kuwa kiboko cha kila siku utafikiri wao ni wakamilifu.
Hamisa live your dreams mamiii !
Duuuh!!!!!aiseee nyie wanawake ni nomaaaView attachment 874315
Shkamoo editing, ukitaka kuonekana kama kiroba cha unga umependa mwenyewe tu.
Hivi sio nyie nlikua mkishangilia mambo ya zari au ye sio mtu, toeni unafikiword
Kuna watu wanafurahia sana magumu na mapito ya watu, kibaya zaidi watu hawahawa wanachukizwa na maendeleo ya mtu.
Hamisa ni mwanadamu ana mapungufu lakini watu wanatumia mapungufu yake kuwa kiboko cha kila siku utafikiri wao ni wakamilifu.
Hamisa live your dreams mamiii !
Hajawahi kuolewa na mganga wa kienyeji
Hivi sio nyie nlikua mkishangilia mambo ya zari au ye sio mtu, toeni unafiki
Yani unafiki mtupu hebu waache viherehere washangilieWord. Tell them
Kitoto kichawi saaana ata ukikiteteaKuna watu wanafurahia sana magumu na mapito ya watu, kibaya zaidi watu hawahawa wanachukizwa na maendeleo ya mtu.
Hamisa ni mwanadamu ana mapungufu lakini watu wanatumia mapungufu yake kuwa kiboko cha kila siku utafikiri wao ni wakamilifu.
Hamisa live your dreams mamiii !
Teh hadi nimemkumbuka Nora wa kaoleUnajuaje, mtu ukishajiingiza kwenye ushirikina anything is possible.