Hatimaye Harmonize anunua bonge la kiwanja,akipanga kushusha Ghorofa hapa mjini

Hatimaye Harmonize anunua bonge la kiwanja,akipanga kushusha Ghorofa hapa mjini

Huyo mkaka aliyenyoosha kidole, mbona ana maumbile makubwa?
Kaikunjia kushoto hadi ring limeonekana.
Akina kaka mjisitiri kwa kuvaa boxer au chupi.
Huko maporini mkinasa kwenye visiki mkachana suruali je?
We kwenye vitu vyote umeona maumbile tu.. akili hauzwi walahiìi
 
Ray
Huyu dogo asiposhikwa mkono na ndugu zake atakufa maskini rayvann mwenzake tayar ana nyumba, yeye amebaki kumfungulia miradi ya biashara wolper, yaani ayu mwana anibanga sana
Rayvanny hana nyumba amepanga km harmonize.. Dogo harmo amepanga kunduchi.
Sema Dogo alizingua sana kwenda kudate na wolper..binafsi nilimshusha sana..sijui ushamba
 
Usichokijua kwa mastaa hawafanyi bure mambo kibao, kuna some personal gains wanapata - Ukiona Rich mavoko anaweka shereehe ya mwanaye YouTube ujue ni biashara hiyo
We jamaa unaakili sana...watu hawalijui hili
 
Ray

Rayvanny hana nyumba amepanga km harmonize.. Dogo harmo amepanga kunduchi.
Sema Dogo alizingua sana kwenda kudate na wolper..binafsi nilimshusha sana..sijui ushamba
TULIENI VIJANA...... MSICONCLUDE.
 
Huyo mkaka aliyenyoosha kidole, mbona ana maumbile makubwa?
Kaikunjia kushoto hadi ring limeonekana.
Akina kaka mjisitiri kwa kuvaa boxer au chupi.
Huko maporini mkinasa kwenye visiki mkachana suruali je?
Dah kweli kila mtu kuna anachokiona akimtazama mtu.....mara hii umeona mbooo badala ya kiwanja ....Aiseeerr
 
Ramani ya nyumba nimeielewa sana kule juu kama kuna sehemu ya kupumzikia
 
Huyo mkaka aliyenyoosha kidole, mbona ana maumbile makubwa?
Kaikunjia kushoto hadi ring limeonekana.
Akina kaka mjisitiri kwa kuvaa boxer au chupi.
Huko maporini mkinasa kwenye visiki mkachana suruali je?
😀😀😀😀😀
Yani wewe
 
Huyu dogo asiposhikwa mkono na ndugu zake atakufa maskini rayvann mwenzake tayar ana nyumba, yeye amebaki kumfungulia miradi ya biashara wolper, yaani ayu mwana anibanga sana
Kila mtu ana njia zake za kutafuta maisha,huwezi kuiga kila kitu kwa mtu au rafiki ndoufanikiwe
 
Hilo sqwata ndio apige mjengo huo!?sahau hapo nikula ugali nasamaki! Huyo Mkwe alienae,,
 
Huyo mkaka aliyenyoosha kidole, mbona ana maumbile makubwa?
Kaikunjia kushoto hadi ring limeonekana.
Akina kaka mjisitiri kwa kuvaa boxer au chupi.
Huko maporini mkinasa kwenye visiki mkachana suruali je?
Kwaio umetaman?
 
Huyu dogo asiposhikwa mkono na ndugu zake atakufa maskini rayvann mwenzake tayar ana nyumba, yeye amebaki kumfungulia miradi ya biashara wolper, yaani ayu mwana anibanga sana
Eeeh,Lwasu wako
 
Usichokijua kwa mastaa hawafanyi bure mambo kibao, kuna some personal gains wanapata - Ukiona Rich mavoko anaweka shereehe ya mwanaye YouTube ujue ni biashara hiyo
Uhuru binafsi wakat mwingine ni priceless na the cost of having kila affair a public issue sometime ni kubwa sana
 
Back
Top Bottom