ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wewe ni mhaya? mbona mjuaji sanaAcha kupanic wewe
Tumia njia legit kuburudika.
Lipia subscription fee kwa wahusika upate access u-stream live na kuenjoy benefits za nyongeza.
Janjanjaja ndio ishaondolewa wanafanya infringement hakimiliki za watu. Watu wanawekeza pesa wengine wanaleta ujanjajanja.
Kwahiyo kwa sababu unatumia MBs haushiriki kwenye piracy?