ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wewe ni mhaya? mbona mjuaji sanaAcha kupanic wewe
Tumia njia legit kuburudika.
Lipia subscription fee kwa wahusika upate access u-stream live na kuenjoy benefits za nyongeza.
Janjanjaja ndio ishaondolewa wanafanya infringement hakimiliki za watu. Watu wanawekeza pesa wengine wanaleta ujanjajanja.
Kwahiyo kwa sababu unatumia MBs haushiriki kwenye piracy?
Sasa mkuu kabila langu linaingiaje hapo? Tuambizane ukweli japo mchungu..Wewe ni mhaya? mbona mjuaji sana
Hata ving'amuzi unalipia ingawa umeme umeshalipia tayari. Unless useme kwa kuwa umeshalipia umeme basi na king'amuzi utumie bure.Slope kivipi mkuu,kwani hatutumii data?
Hauendani kivipi!? Kutaka kuona chaneli za watu bure kwa kuwa unatumia bando la data ambalo umelinunua kwa hela yako mwenyewe, hakuna tofauti na kutaka une chaneli za dstv bure kwa kisingizio tu "tayari unalipia umeme ambao unatumika kuwashia decoder yao". Maana zote hizo nibkulazimisha vya bure.Mfano hauendani
Asante sana mkuu umenifanya niangalie game leo vizuri kabisa tena biLa kugOmagOmaTafuteni yacine tv.
Download app kutoka nje ya play store then install. App yake ina MB 7 nadhani kama sio MB 14.
Ukimaliza download ytv player baada ya hapo kula maisha
Asante sana mkuu Hii kitu iko poa sana jana nimeangalia mpira bila matatizo afu ina channel nyingi sema hii ytv nimechukua play store ila sijaona umuhimu wake naomba kueleweshwaTafuteni yacine tv.
Download app kutoka nje ya play store then install. App yake ina MB 7 nadhani kama sio MB 14.
Ukimaliza download ytv player baada ya hapo kula maisha
Hyo ndio inafanya unastream vizuri bila shidaAsante sana mkuu Hii kitu iko poa sana jana nimeangalia mpira bila matatizo afu ina channel nyingi sema hii ytv nimechukua play store ila sijaona umuhimu wake naomba kueleweshwa
Tafuteni yacine tv.
Download app kutoka play store then install. App yake nadhani ina MB 13.
Ukimaliza download ytv player baada ya hapo kula maisha.
Kiufupi huwez kuplay bila player yao ambayo ndo hyo YTV PLAYERHIYO YTV PLAYER INASAIDIA nini mkuu?
mbona kwangu inaplay? na hata hiyo YTV player sija downloadKiufupi huwez kuplay bila player yao ambayo ndo hyo YTV PLAYER
Bila kustuck?mbona kwangu inaplay? na hata hiyo YTV player sija download
Sasa hivi wameboresha zamani ilikuwa lazma uwe nayo. So kuepuka usumbufu namuelekeza mtu awe nazo zote mbilimbona kwangu inaplay? na hata hiyo YTV player sija download
Afu kwangu yacvine tv kuplay mpaka nitumie vpn aiseeSasa hivi wameboresha zamani ilikuwa lazma uwe nayo. So kuepuka usumbufu namuelekeza mtu awe nazo zote mbili
Afu kwangu yacvine tv kuplay mpaka nitumie vpn aisee