Hatimaye Hotel ya Mbunge wa Mbeya mjini Mh Joseph Mbilinyi 'Sugu' yafunguliwa

Serikali ya ccm wasije wakaipiga X tu waseme kavamia eneo...... la ujenzi wa reli
 
Kwakuwa ni chadema na msanii tutasema hongera sana Kamanda..ila angekuwa ccm hapa tungesema ni fisadi..tukapimwe akili
 
Hongera Mr. Sugu. Ila majengo ya hiyo hotel yananikumbusha maisha ya hostel kipindi nasoma
 
Safi sana Sugu Mimi si shabiki yako katika mambo mengi yakiwemo siasa lakini kwenye jambo hili la maendeleo na kupongeza sana na Allah akujalie zaidi uweze kulipa huo mkopo na ikiwezekana uwekeze pengine...
Hongera sana..Sugu.
 
iliyomuingizia pesa kumiliki hiyo kitu.
Tatizo tunapenda kuonyesha tuna nini sio tumevipataje ili awape inspiration vijana anaowawakilisha huko.

mikopo
kilimo
ubunge kajichanga etc
natanguliza hongera kwake lkn
Great thinker mkuuuu ... Tumfanye kijana kua inspired na njia tulotumia kufanikiwa nasio Mafanikio tulonayo .

All in all ,shout out to you Mr.Sugu.
 
iliyomuingizia pesa kumiliki hiyo kitu.
Tatizo tunapenda kuonyesha tuna nini sio tumevipataje ili awape inspiration vijana anaowawakilisha huko.

mikopo
kilimo
ubunge kajichanga etc
natanguliza hongera kwake lkn
Inaonekana hata post nzima hujaisoma,umekimbilia kuandika tu.Kwenye Post hapo juu,imeandikwa kabisa Sugu amesema ni mkopo toka bank ya CRDB.

In this world,It doesn't matter who you are,But what you do to Survive.
 
Chakula alichokitoa mpishi aliyeshinda ni kiboko! Hotel iko Mbeya sehemu gani? Hongera Sugu!
 
Aangalie tu..... Sisiem sio watu... Mbowe wanazidi mfilisi tu

Ila kawazidi hadi bosi zake akili....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…