Rumi ilianguka na kunyanyuka zaidi ya Mara tatu kwa tafauti ya karne kadhaa.Yaani iko hivii!
Utawala wowote uliowahi kuitawala Dunia, ulipoangushwa, haukuinuka tena na hautainuka tena na tena!
Irani hatainuka tena kama alivyokuwa Rumi n.k
Hii ni Kibiblia
Hiyo ni mbinu za vita, kwa sababu wamarekani ni wanafiki kwenye mikataba, niachojua kulipa kisasi kuko palepaleBaada ya kusubiriwa kwa hamu jibu la IRAN kwa Israel,hatimaye imesema haiwezi kushambulia Israel kwa wakati huu hayo yamesemwa na afisa mwandamizi wa jeshi la mapinduzi la IRA...
Hako kakitabu kakutunga hakajawahi kusema kweliYaani iko hivii!
Utawala wowote uliowahi kuitawala Dunia, ulipoangushwa, haukuinuka tena na hautainuka tena na tena!
Irani hatainuka tena kama alivyokuwa Rumi n.k
Hii ni Kibiblia
Hasty action maana yake nini!?..shule mlisomea ujinga?Baada ya kusubiriwa kwa hamu jibu la IRAN kwa Israel,hatimaye imesema haiwezi kushambulia Israel kwa wakati huu hayo yamesemwa na afisa mwandamizi wa jeshi la mapinduzi la...
Kulipa kisasi ni haqqi nenda kamlipie wewe basi hiko kisasi!!!Kulipa kisasi ni haqqi
Kisasi lazima kitalipwa tu yaani muwakilishi wa IRAN pale UN jioni hii hii kakujibu
Maana anajua kama akili zako wewe mtoa mada 😀
Kulipa kisasi ni haqqi
Kisasi lazima kitalipwa tu yaani muwakilishi wa IRAN pale UN jioni hii hii kakujibu
Maana anajua kama akili zako wewe mtoa mada 😀
Kwa 100%✓Una uhakika Quran ilitoka kwa mungu?
Mbona unanifokea kijana hem tulia dawa isambaeKulipa kisasi ni haqqi nenda kamlipie wewe basi hiko kisasi!!!
Mwenye nchi yake ameshagwaya hataki hata kumsikia huyo Mzayuni kwenye masikio yake wewe upo hapa una-type kisasi ni haki kisasi ni haqqi nenda kajaribu uone kitakachokupata
Sawa tuma salamu kwa watu watatu au wanneNchi ya wanafki WA Irani graf yake inashuka tena Kwa Kasi.Nchi yao iko complete compromised..Kuna watu wanajua kila hatua ya Ayatollah Ali khaminey..Bila Shaka na yeye Kwa sasa anatamani afe akapumzike na kijana wake aliekufa akinukia harufu ya mshikaki Hajj Kisimi Soleiman.Au akakutane na Yule mwenye kiburi Ebirahima rahisi aliekufa Kama ndezi milimani.Ayatollah anajipa moyo Tu ila ukweli keshaujua kwamba nchi yake iko kwenye shida na inashuka...Na asipoangalia kuna mawili either nchi yake iwe kama Yemen au utawala wa familia ya Reza Pahlav urudi madarakani.
Tofautisha rumi na utawala wa kighaidi wa ayatollahRumi ilianguka na kunyanyuka zaidi ya Mara tatu kwa tafauti ya karne kadhaa.