Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biblia sometimes ni story za jaba mkuu kua makini na source yakoYaani iko hivii!
Utawala wowote uliowahi kuitawala Dunia, ulipoangushwa, haukuinuka tena na hautainuka tena na tena!
Irani hatainuka tena kama alivyokuwa Rumi n.k
Hii ni Kibiblia
Na yamkini utawala wa US ndo ukawa utawala wa mwisho, pamoja na mapungufu yao US ila wamejitahidi sana kutuliza upuuzi wa nchi za kiarabu.Yaani iko hivii!
Utawala wowote uliowahi kuitawala Dunia, ulipoangushwa, haukuinuka tena na hautainuka tena na tena!
Irani hatainuka tena kama alivyokuwa Rumi n.k
Hii ni Kibiblia
Umeshindwa kutetea hoja ya vitabu vyenu vya udaku heheeNdo mcheza kamari mudi alivyowaongopea🤣🤣
Kweli kwasababu kwenu waarabu kukaidi kuhalalisha ndoa mnazoziita za watu wa jinsia moja ndio kutulizwa kwenuNa yamkini utawala wa US ndo ukawa utawala wa mwisho, pamoja na mapungufu yao US ila wamejitahidi sana kutuliza upuuzi wa nchi za kiarabu.
Yupo zake Kisiju ana type tu, eti kisasi ni haqqi.Kulipa kisasi ni haqqi nenda kamlipie wewe basi hiko kisasi!!!
Mwenye nchi yake ameshagwaya hataki hata kumsikia huyo Mzayuni kwenye masikio yake wewe upo hapa una-type kisasi ni haki kisasi ni haqqi nenda kajaribu uone kitakachokupata
Sifungui link samahani lkn
Kwahio umeteseka kumbe kwamie kusema ukweliYupo zake Kisiju ana type tu, eti kisasi ni haqqi.
Usihukumu kesi bila kuisikiliza.Sifungui link samahani lkn
Ingawaje najua huna la maana uloleta
Sina kawaida yakufungua link mzee kama maelezo yapo yaleteUsihukumu kesi bila kuisikiliza.
Babylon shall never rise again.Yaani iko hivii!
Utawala wowote uliowahi kuitawala Dunia, ulipoangushwa, haukuinuka tena na hautainuka tena na tena!
Irani hatainuka tena kama alivyokuwa Rumi n.k
Hii ni Kibiblia