Hatimaye Iran yathibitisha haiwezi kulipiza kisasi dhidi ya Israel

Hatimaye Iran yathibitisha haiwezi kulipiza kisasi dhidi ya Israel

Yaani Iran inajua kilichomtoa kanga manyoya. Mwenzake Urusi alijua kazi itakuwa ndogo anashangaa mwaka wa tatu unaenda na kila pesa inayopatikana inaenda kwenye vita.
Iran akijichanganya tu, Ayatollah atakutana na kilichomtoa Saddam au Gadaf.
 
Yaani iko hivii!

Utawala wowote uliowahi kuitawala Dunia, ulipoangushwa, haukuinuka tena na hautainuka tena na tena!

Irani hatainuka tena kama alivyokuwa Rumi n.k

Hii ni Kibiblia
Biblia sometimes ni story za jaba mkuu kua makini na source yako
 
Yaani iko hivii!

Utawala wowote uliowahi kuitawala Dunia, ulipoangushwa, haukuinuka tena na hautainuka tena na tena!

Irani hatainuka tena kama alivyokuwa Rumi n.k

Hii ni Kibiblia
Na yamkini utawala wa US ndo ukawa utawala wa mwisho, pamoja na mapungufu yao US ila wamejitahidi sana kutuliza upuuzi wa nchi za kiarabu.
 
Ndo mcheza kamari mudi alivyowaongopea🤣🤣
Umeshindwa kutetea hoja ya vitabu vyenu vya udaku hehee

Qur an sio kitabu wala maneno ya Muhammad nandio maana hata yeye alionywa alipotaka kwenda kombo na hayo maneno

Nyie vitabu vyenu vya literature vile vipo vipo tuuu😀😀😀
 
Na yamkini utawala wa US ndo ukawa utawala wa mwisho, pamoja na mapungufu yao US ila wamejitahidi sana kutuliza upuuzi wa nchi za kiarabu.
Kweli kwasababu kwenu waarabu kukaidi kuhalalisha ndoa mnazoziita za watu wa jinsia moja ndio kutulizwa kwenu

Papa kwakua halalisha mwaona hana baya 😀😀😀
 
Israel inaandamwa na saikolojia za ki-doomsday. religious cult leaders and modern-day Zionists kama kina Ben-Gvir ndio mawaziri wa Netanyahu, they want to manually trigger the Apocalypse. Wanachokoza chokoza kwa makusudi ili matukio fulani yatoke in perpetuity, wakajenge mnara wa Babeli.

Iran inabidi ishukuriwe kwa kuonyesha restraint
 
Kulipa kisasi ni haqqi nenda kamlipie wewe basi hiko kisasi!!!

Mwenye nchi yake ameshagwaya hataki hata kumsikia huyo Mzayuni kwenye masikio yake wewe upo hapa una-type kisasi ni haki kisasi ni haqqi nenda kajaribu uone kitakachokupata
Yupo zake Kisiju ana type tu, eti kisasi ni haqqi.
 
Yaani iko hivii!

Utawala wowote uliowahi kuitawala Dunia, ulipoangushwa, haukuinuka tena na hautainuka tena na tena!

Irani hatainuka tena kama alivyokuwa Rumi n.k

Hii ni Kibiblia
Babylon shall never rise again.
 
Back
Top Bottom