permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Wahuni waliandika, tena mmoja alichoma versions nyingine akabaki na ile aliyoedit mwenyewe.Una uhakika Quran ilitoka kwa mungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni waliandika, tena mmoja alichoma versions nyingine akabaki na ile aliyoedit mwenyewe.Una uhakika Quran ilitoka kwa mungu?
Hako kakitabu kao hakana ishu zaidi ya kukopi biblia na kutunga baadhi ya mambo..Kwa 100%✓
Huwa ukishashiba makande unaropokaga sana.Baada ya kusubiriwa kwa hamu jibu la IRAN kwa Israel,hatimaye imesema haiwezi kushambulia Israel kwa wakati huu hayo yamesemwa na afisa mwandamizi wa jeshi la mapinduzi la IRAN
Swali je ndo kusema Iran inaogopa nini kitatokea baada ya Israel kusema kipindi hiki Iran ikijaribu TU itakutana na moto?
Wale pro Iran/Russia karibu[emoji1787]
Chanzo CNN
Iran says it will not take ‘hasty action’ against Israel for killing of Hamas political leader https://www.cnn.com/2024/08/20/middleeast/iran-israel-irgc-comments-intl/index.html
View attachment 3075791
Lete ushahidi wa biblia kukopiwa.Hako kakitabu kao hakana ishu zaidi ya kukopi biblia na kutunga baadhi ya mambo..
Iran kelele nyingi vitendo sifuriSawa tuma salamu kwa watu watatu au wanne
Makombora au Bajaj? Hapo neno kombora limetumika vibaya...Huwa ukishashiba makande unaropokaga sana.
Kama Iran mwezi may aliweza kurusha makombora na drone 300 kwenda Israel directly from Tehran kwanini ashindwe kufanya sasa hivi!??
Iran uwezo wa kuishambulia Israel anao tena sanaa.
Ila Rais wa awamu hii alipoingia madarakani alitoa wito kuwa Iran kwasasa uchumi wake sio salama kwa vita.
Pia Iran inatakiwa ipunguze tension na mataifa hasimu ili ijenge uhusiano na mataifa mengine ili kupunguza vikwazo vya kiuchumi.
Maana uchumi wa Iran uko too crippled.
Rumi ipo kupitia RCYaani iko hivii!
Utawala wowote uliowahi kuitawala Dunia, ulipoangushwa, haukuinuka tena na hautainuka tena na tena!
Irani hatainuka tena kama alivyokuwa Rumi n.k
Hii ni Kibiblia
USA wanasema medium range ballistic missile zilitumika.Makombora au Bajaj? Hapo neno kombora limetumika vibaya...
Yote yanayofanana yamekopiwa(bible ni yakwanza na Koran imekuja miaka mia 6 mbele) na yasiyofanana mlitunga. Hutaki andamana.Lete ushahidi wa biblia kukopiwa.
Lete hata mstari mmoja ambao umekopiwa kutoka biblia.
Halaf zikafanyaje?USA wanasema medium range ballistic missile zilitumika.
Wewe kama nani ukatae!?
Ona huyu jamaa!
Lete mfano hapa.Yote yanayofanana yamekopiwa(bible ni yakwanza na Koran imekuja miaka mia 6 mbele) na yasiyofanana mlitunga. Hutaki andamana.
Kasome ripoti zilifanyaje.Halaf zikafanyaje?
Wametumia busara, siyo uogaBaada ya kusubiriwa kwa hamu jibu la IRAN kwa Israel,hatimaye imesema haiwezi kushambulia Israel kwa wakati huu hayo yamesemwa na afisa mwandamizi wa jeshi la mapinduzi la IRAN
Swali je ndo kusema Iran inaogopa nini kitatokea baada ya Israel kusema kipindi hiki Iran ikijaribu TU itakutana na moto?
Wale pro Iran/Russia karibu[emoji1787]
Chanzo CNN
Iran says it will not take ‘hasty action’ against Israel for killing of Hamas political leader https://www.cnn.com/2024/08/20/middleeast/iran-israel-irgc-comments-intl/index.html
View attachment 3075791
Iran na israhell nani kelele mingi kijana ?Iran kelele nyingi vitendo sifuri
Ndo ulivyokalilishwa madrasa kama mudi mtume...[emoji1787][emoji1787] Ulisikia wap mtume ana mapengo?....mtume mwizi wa ngamia wa watu[emoji1787][emoji1787]Umeshindwa kutetea hoja ya vitabu vyenu vya udaku hehee
Qur an sio kitabu wala maneno ya Muhammad nandio maana hata yeye alionywa alipotaka kwenda kombo na hayo maneno
Nyie vitabu vyenu vya literature vile vipo vipo tuuu[emoji3][emoji3][emoji3]
Unafananisha Israel na wapumbavu.... Iran yenyewe inajua mziki wa Israel ndio maana inakunya kunya na this time watu wanamla kichwa ayatullah.... Israel maneno 1% vitendo 100%...Toka Iran iseme inashambulia Israel Leo siku ya ngap?....lakin bwana Nyau ukiyatimba anakufata ulipo anamaliza na wewe haijalishi uko wapi au uko na nani....hiyo Israel taifa jeuri🤣🤣Iran na israhell nani kelele mingi kijana ?
So poa mkuu tumepigwaHaina tofauti na Quran na brother ma mudi.....fix fix
Baada ya kusubiriwa kwa hamu jibu la IRAN kwa Israel,hatimaye imesema haiwezi kushambulia Israel kwa wakati huu hayo yamesemwa na afisa mwandamizi wa jeshi la mapinduzi la IRAN
Swali je ndo kusema Iran inaogopa nini kitatokea baada ya Israel kusema kipindi hiki Iran ikijaribu TU itakutana na moto?
Wale pro Iran/Russia karibu[emoji1787]
Chanzo CNN
Iran says it will not take ‘hasty action’ against Israel for killing of Hamas political leader https://www.cnn.com/2024/08/20/middleeast/iran-israel-irgc-comments-intl/index.html
View attachment 3075791