MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Habari za hivi punde, Israel imefikia mlango wa handaki na kupiga mabomu humo ambapo makamanda wa HAMAS wanaaminika wamejificha chini ya hiyo hospitali, mpambano unaendelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapigania Allah mwenye mguu mmoja wapo confused.Wakati HAMAS wanarusha makombora mliimba humu alla akbar Akbar.
Uongo wa videos na taarifa za kuhusu kukutwa kwa mahandaki na silaha kwenye hospital,Jeshi la Israel lilifuta taarifa hizo baada ya kugundulika linadanganya na kutengeneza videos za uongo kuhalalisha mauaji na ushambuliaji wa vituo vya hospital kwani ni kinyume Cha sheria za vita!!
Propganda kubwa sana zinatumika!!View attachment 2816076View attachment 2816077View attachment 2816078
Tena wayapige miti kabla hawajafanya au kuyatia kilema Ili yakienda ahela yakikabidhiwa mabikira 72 yashindwe kufanya chochote kituyanalia takibiriii humo kama mapanya bukuu....yapigwe tu
Mbona kama ndio hivyo kwanini raia wasikimbilie huko kwenye handaki badala yake wanauawa?Mazayuni wanawadanganya na nyie mpo tu.
Unaambiwa Ghaza hakuna nyumba isiyokuwa na mlango wa kwenda kwenye mahandaki.
Mbona chuki hivyo ndugu? Kuweni na kiasi, nao ni binadamuTena wayapige miti kabla hawajafanya au kuyatia kilema Ili yakienda ahela yakikabidhiwa mabikira 72 yashindwe kufanya chochote kitu
Unajuaje wakati wewe uko tu hapo Keko Magurumbasi.Mazayuni wanawadanganya na nyie mpo tu.
Unaambiwa Ghaza hakuna nyumba isiyokuwa na mlango wa kwenda kwenye mahandaki.
w jamaa wa kikenya hua unalipwa? ni swali tu la ufahamuHabari za hivi punde, Israel imefikia mlango wa handaki na kupiga mabomu humo ambapo makamanda wa HAMAS wanaaminika wamejificha chini ya hiyo hospitali, mpambano unaendelea.
IDF says it struck Hamas underground sites where senior commanders were hiding
Military reveals tunnel entrance, weapons cache found in Shifa Hospital complex * Body of hostage Yehudit Weiss recovered in Gaza, brought back to Israel * IDF Gaza op toll hits 51
Umefika mbali sana....Ee Mungu wanguTena wayapige miti kabla hawajafanya au kuyatia kilema Ili yakienda ahela yakikabidhiwa mabikira 72 yashindwe kufanya chochote kitu
Maneno yasiwe magumu sana sasa kwenye huu ushabikiMbona hukuandiaka haya wakati walikua wanaua watu kule Israel, au Wayahudi sio binadamu, sasa hivi ndio mnajifanya mnavyojua kujali baada ya kipodo kugeuzwa.
Kule Palestina watu wanataabika sana, yafaa kuwaonea huruma, unakuta mtu kapoteza watoto wake wote kwa pigo mojaMbona hukuandiaka haya wakati walikua wanaua watu kule Israel, au Wayahudi sio binadamu, sasa hivi ndio mnajifanya mnavyojua kujali baada ya kipodo kugeuzwa.