Hatimaye Israel yagundua mlango wa handaki lililo kwenye hospitali ya Al Shifa

Hatimaye Israel yagundua mlango wa handaki lililo kwenye hospitali ya Al Shifa

Allah mungu wa kiarabu na waislamu.
Yupo tofauti kabisa na ADONAI mungu wa wakrsto na wayahudi.
NB: KWA WAISLAMU YEHOVA NI SHETANI NA KWA WAKRSTO ALLAH NI SHETANI
Soma vizuri hoja yangu na hiyo screenshot. Biblia hamna sehemu hata Moja inasema Yahweh ni Shetani. LAKINI Quran ktk Sahih Al-Bukhari 4950 inasema Allah ni Shetani. Wakanushe kama sivyo.
Screenshot_20231116-174917.png

Ndiyo maana Mwanawa Mfalme wa Saudia amazistukia hadithi zote za Quran kuwa haziwezi kuwa vitabu vya Mungu
Screenshot_20231113-212823.png
 
Habari za hivi punde, Israel imefikia mlango wa handaki na kupiga mabomu humo ambapo makamanda wa HAMAS wanaaminika wamejificha chini ya hiyo hospitali, mpambano unaendelea.

IDF says it struck Hamas underground sites where senior commanders were hiding​

Military reveals tunnel entrance, weapons cache found in Shifa Hospital complex * Body of hostage Yehudit Weiss recovered in Gaza, brought back to Israel * IDF Gaza op toll hits 51​

Uharo mwingine huu yaani kila propaganda za Israel unameza tu. Hii video nakuwekea hapo chini
Uongo wa mabwana zako.

On October 27, Israel presented this CGI animation of an underground mansion as proof of the "Hamas command center" under al-Shifa hospital.

It was a hoax.

No mainstream reporter will ask any Israeli official about it. They'd be fired if they did.
 

Attachments

  • twidown.mp4
    1.5 MB
Habari za hivi punde, Israel imefikia mlango wa handaki na kupiga mabomu humo ambapo makamanda wa HAMAS wanaaminika wamejificha chini ya hiyo hospitali, mpambano unaendelea.

IDF says it struck Hamas underground sites where senior commanders were hiding​

Military reveals tunnel entrance, weapons cache found in Shifa Hospital complex * Body of hostage Yehudit Weiss recovered in Gaza, brought back to Israel * IDF Gaza op toll hits 51​

https://www.timesofisrael.com/liveblog-november-16-2023/

Israel hii inayo fake Hadi HAMAS was mchongo?

Fact or Fiction: Israel needs fake nurses to justify killing Gaza babies

Hao watawadanganya mbuzi mbuzi wenye mind below average.
 
Habari za hivi punde, Israel imefikia mlango wa handaki na kupiga mabomu humo ambapo makamanda wa HAMAS wanaaminika wamejificha chini ya hiyo hospitali, mpambano unaendelea.

IDF says it struck Hamas underground sites where senior commanders were hiding​

Military reveals tunnel entrance, weapons cache found in Shifa Hospital complex * Body of hostage Yehudit Weiss recovered in Gaza, brought back to Israel * IDF Gaza op toll hits 51​

yale maridhiano hayaja fikiwa
 
Hakuna mpuuzi yeyote anaweza kusimama mbele za Mungu wa Israel na akatoka salama.
Historia iko wazi tangu miaka 3000 kabla ya Kristo na miaka 2000 sasa baada ya Kristo
 
Mitandao inahitaji watu wenye akili timamu ya kufikiria. Otherwise you will look fool. Hizo picha utakuta zina miaka mingi tena wakati wa good time. Watu wa propaganda wanazirusha sasahivi na nyinyi mlivyokuwa misukule mnazisambaza kwa mihemko
Hii nilikua namuinyesha kua viongozi wa kidini na kisiasa duniani.
They dont care!!!
Hawa viongozi ni mfano wao
Screenshot_20231110-153817_1.jpg
 
Allah mungu wa kiarabu na waislamu.
Yupo tofauti kabisa na ADONAI mungu wa wakrsto na wayahudi.
NB: KWA WAISLAMU YEHOVA NI SHETANI NA KWA WAKRSTO ALLAH NI SHETANI
Mungu wa wakiristo ni yesu,ndiye wamuombae na kumsifu,msijiweke kwa Mungu wa wayahudi, Mungu wenu alikatwa govi siku ya nane baada ya kuzaliwa
 
Soma vizuri hoja yangu na hiyo screenshot. Biblia hamna sehemu hata Moja inasema Yahweh ni Shetani. LAKINI Quran ktk Sahih Al-Bukhari 4950 inasema Allah ni Shetani. Wakanushe kama sivyo.
View attachment 2816338
Ndiyo maana Mwanawa Mfalme wa Saudia amazistukia hadithi zote za Quran kuwa haziwezi kuwa vitabu vya Mungu
View attachment 2816345
Hapa umedhihirisha umbumbumbu wako kuhusu Qur'an na Hadith,ni vitu viwili tofauti,uwe unajifunza kwanza vitu ndiyo unaingia ground kubishana
 
Mungu wa wakiristo ni yesu,ndiye wamuombae na kumsifu,msijiweke kwa Mungu wa wayahudi, Mungu wenu alikatwa govi siku ya nane baada ya kuzaliwa
Mkuu unawapangia wakrsto wa Yehova Mungu.
Yehova ni Mungu wa wakrsto.
Yesu mwana wa Yehova ni Mungu pia wa wakristo.
NB: TATIZO WAISLAMU NA WAARABU WANAUMIA SANA KIHISIA NA KIMWIKI KUONA WAKRSTO WANAMUABUDU MUNGU WA KIYAHUDI NA MWANAE.😂🤣🤣🤣🤣🤣
Wakrsto hawawezi kumuabudu mungu wa kiarabu,,,,,hawamtambui na mafundisho yake ya kiarabu hayawahusu
 
Mkuu unawapangia wakrsto wa Yehova Mungu.
Yehova ni Mungu wa wakrsto.
Yesu mwana wa Yehova ni Mungu pia wa wakristo.
NB: TATIZO WAISLAMU NA WAARABU WANAUMIA SANA KIHISIA NA KIMWIKI KUONA WAKRSTO WANAMUABUDU MUNGU WA KIYAHUDI NA MWANAE.😂🤣🤣🤣🤣🤣
Wakrsto hawawezi kumuabudu mungu wa kiarabu,,,,,hawamtambui na mafundisho yake ya kiarabu hayawahusu
Sijasema wakiristo wamuabudu Mungu wa waarabu,nachosema wakiristo Mungu wao yesu na si yehova,ndiye wanayemuomba na kumnadi kila siku,wewe wapi uliona wakiristo wakimuomba yehova!?..so wakiristo na wayahudi Wana miungu tofauti
 
Sijasema wakiristo wamuabudu Mungu wa waarabu,nachosema wakiristo Mungu wao yesu na si yehova,ndiye wanayemuomba na kumnadi kila siku,wewe wapi uliona wakiristo wakimuomba yehova!?..so wakiristo na wayahudi Wana miungu tofauti
TUWAITE WAKRSTO HASA YEHOVAH WITNESS TUWAULIZE.
WEWE MFUASI WA MUDY KUTOKEA MSIKITI WA MTAMBANI,,WAPI NA WAPI KUWASEMEA WAGALATIA NA IMANI YAO.
AU UNAWAONEA WIVU WAKILA KITIMOTO NA PRISNER??
 
TUWAITE WAKRSTO HASA YEHOVAH WITNESS TUWAULIZE.
WEWE MFUASI WA MUDY KUTOKEA MSIKITI WA MTAMBANI,,WAPI NA WAPI KUWASEMEA WAGALATIA NA IMANI YAO.
AU UNAWAONEA WIVU WAKILA KITIMOTO NA PRISNER??
Katoliki,mwamposa,lusekelo na walokole wengine Mungu wao yesu,shahidi wa yehova anajiita tu na kujinasibisha na yehova Kama wakiristo wengine lakini wakiomba wanamuomba yesu,yesu ndiye mtenda maajabu,yesu anakimbiza mapepo,yesu anaponya..na si yehova
 
Binafsi nimesikitishwa sana na ushahidi unaotolewa na IDF kuhusu uwepo wa operation za Hamas ndani ya Al Shifa hospital labda tusubiri tuone maana wamesema bado wanaendelea kuikagua ila mpaka muda huu nilichokitegemea sicho nilichokiona, msema kweli mpenz wa Mungu (kwa sauti ya Late Magufuri)
Sasa utakataje na wakati kwenye hospitali hizo mapambano yamefanyika kati ya Hamas na IDF? Gaidi hana huruma , ameua wayahudi 1200 lakini kapoteza kila kitu ,utawala kapoteza, wanna hi wake wamepotea, makumba na miundombinu imepotea, gaidi kapata hasara mara 💯.
 
Back
Top Bottom