Hatimaye Israel yagundua mlango wa handaki lililo kwenye hospitali ya Al Shifa

Hatimaye Israel yagundua mlango wa handaki lililo kwenye hospitali ya Al Shifa

Hati sio tatizo kwa sasa, kimsingi ni mtiwe adabu msifanye huo ujinga siku nyingine, binafsi hadi hapo naomba Israel waache sasa ila jamaa ndio kama wanaongeza mzuka wa kupiga.
Ni mjinga tu anayedhani Palestinian uprising itaisha kisa uvamizi...... watakuja revenge and it'll be brutal.
 
Ni mjinga tu anayedhani Palestinian uprising itaisha kisa uvamizi...... watakuja revenge and it'll be brutal.
Magaidi ya hamas yanapelekewa kipondo cha haja huku yakitelekeza silaha zao. View attachment 2818017View attachment 2818018View attachment 2818019View attachment 2818020
IMG_20231118_180856_990.jpg
 
Ni mjinga tu anayedhani Palestinian uprising itaisha kisa uvamizi...... watakuja revenge and it'll be brutal.

Ni mpumbavu tu mwenye elimu ya madrassa anadhani atakuja kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia, huyo muarabu aliwaponza sana kwa hili tamko lake la kichuki chuki, kila mkijaribu mnapigwa mapigo ya kiwaki waki

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
 
W
Tena wayapige miti kabla hawajafanya au kuyatia kilema Ili yakienda ahela yakikabidhiwa mabikira 72 yashindwe kufanya chochote kitu
Wampige miti nani wakati jeshi lenyewe la mashoga ww kamanda wa kikosi kaolewa na mwanaume mwenzake
 
mi kidini ni mkristo ila sishabikii ujinga hata siku moja tuache unafiki watanzania ,tupambane navita inayotukabili,ujinga, umasikini na ulawiti hayo yasiyo tuhusu tuachane nayo
Sasa jukwaa la international umefata nini, si ubaki kwenye siasa na ccm yako?
 
Sasa ingefaa ukajikita kwenye majukwaa ya Siasa huko ili upambane vizuri na yanayotukabili kama Nchi.Ukija hapa kwa International forum utakutana na habari za Kimataifa maana ndiyo sehemu yake sahihi.
Achana nae mpuuzi huyo.
 
Ni mpumbavu tu mwenye elimu ya madrassa anadhani atakuja kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia, huyo muarabu aliwaponza sana kwa hili tamko lake la kichuki chuki, kila mkijaribu mnapigwa mapigo ya kiwaki waki
Mbona Ottoman aliweza? Au Hitler aliweza? Ni suala la muda tu. Na hata Bible inatabiri kuwa wayahudi watatandikwa kabla Yesu hajarudi. So either way watafutwa! Watakaopona ni wale wataokiri tu.
 
Kule Palestina watu wanataabika sana, yafaa kuwaonea huruma, unakuta mtu kapoteza watoto wake wote kwa pigo moja
Unawatofautishaje wapalestina na HAMAS? Acheni watu wafanye kazi, huruma ndio nini? nani kaanzisha vurugu, na wao hawataki vita iishe wanasema waliposhambulia ile october 7, walikuwa wamejiandaa kwa vita ya muda mrefu.
wenzenu wanalipwana na ahadi za bikira juu, nyie mnaona huruma.
Binafsi nasema waachwe wapigane mpaka tuone the last man standing.
Huu ujinga wa cease fire sijui humanitarian aid sipendi kabisa.
Nyerere alipompiga Idd amini Uganda, watu walisema basi umeshinda muache, Nyerere alisema hapana aondoke na Uganda sitaki kumuona. Idd Amini aliondoka na akafia uhamishoni.
Kunguni huwakanyagi na kiatu ukasema nimewaua, ukizima taa tu,wote wazima. Dawa yao ni kuwauwa na kuchoma magodoro na vitanda kama inawezekana.
 
Mbona Ottoman aliweza? Au Hitler aliweza? Ni suala la muda tu. Na hata Bible inatabiri kuwa wayahudi watatandikwa kabla Yesu hajarudi. So either way watafutwa! Watakaopona ni wale wataokiri tu.

Wewe unawaza kuhusu Hittler na Ottoman, ila umesahau 'mungu' wako mohammed alichinja sana Wayahudi wa Banu Qurayza lakini hakufaulu kuwafuta.
Hakuna mwenye uwezo wa kuwafuta, mtaendelea kuuawa kila mkijaribu.
 
Wewe unawaza kuhusu Hittler na Ottoman, ila umesahau 'mungu' wako mohammed alichinja sana Wayahudi wa Banu Qurayza lakini hakufaulu kuwafuta.
Hakuna mwenye uwezo wa kuwafuta, mtaendelea kuuawa kila mkijaribu.
Wala hakuna anayetaka kuwafuta duniani tunachotaka wapishe ardhi ya Palestine mbona simple tu.
 
nani kaanzisha vurugu
Israel wameanzisha ugomvi kwa kuikalia palestina kimabavu miaka 75 sasa. Ni ajabu sana watu mnaongelea October 7 wakati mgogoro una miaka 75!! Nlichogundua humu wengi ushabiki tu lakini hamjui historia.
 
Back
Top Bottom