Hatimaye Israel yagundua mlango wa handaki lililo kwenye hospitali ya Al Shifa

Hatimaye Israel yagundua mlango wa handaki lililo kwenye hospitali ya Al Shifa

Nyerere alipompiga Idd amini Uganda, watu walisema basi umeshinda muache, Nyerere alisema hapana aondoke na Uganda sitaki kumuona. Idd Amini aliondoka na akafia uhamishoni.
Nyerere alimpiga kisa Amin alivamia mipaka ya Tanzania same thing alichofanya Hamas, kumpiga Israel sababu alivamia mipaka yake.

Cha ajabu unamuunga mkono Nyerere ila unaipinga Hamas wakati wote hao walikua na lengo la kulinda mipaka yao.
 
Wala hakuna anayetaka kuwafuta duniani tunachotaka wapishe ardhi ya Palestine mbona simple tu.

Hamkuanza nyie, hata kabla ujio wa muddy na dini yenu, kunao walijaribu kuwafuta hapo kwao lakini wapo wapo mpaka leo.....
 
Nyerere alimpiga kisa Amin alivamia mipaka ya Tanzania same thing alichofanya Hamas, kumpiga Israel sababu alivamia mipaka yake.

Cha ajabu unamuunga mkono Nyerere ila unaipinga Hamas wakati wote hao walikua na lengo la kulinda mipaka yao.
Hahaha mimi nawaunga mkono wote, siungi mkono yeyote. Minataka wapigane mpaka tupate mshindi. Apigwe HAMAS sawa Apigwe ISRAEL sawa. Hapo wanapigana hakuna anayepigwa. Nashangaa kuna watu wanataka tuanze kuchanga huruma sijui tumuonee huruma nani, hiyo haisaidii. Yeyote atakaye legea atapigwa tu.

Ila kwa kusahihisha, Hamas siyo sawa na Nyerere. Hawa ni Sawa na Idd Amin. Walitpoka Gaza wakaenda kuvamia makazi ya Waisrael.
Ila tuwaache wapigane, kama unataka kuwasaidia hamasi peleka hata nyembe au misumari, vita ni vita na sila yoyote inayouwa unahitajika.
 
Israel wameanzisha ugomvi kwa kuikalia palestina kimabavu miaka 75 sasa. Ni ajabu sana watu mnaongelea October 7 wakati mgogoro una miaka 75!! Nlichogundua humu wengi ushabiki tu lakini hamjui historia.
Sasa Miaka yoote hiyo walikuwa wapi, mpaka sasa. Unaweza kuta hata hao walioletwa hiyo 75 years ago hawapo tena.
Mi sihitaji kujua historia, nina interest zangu kwenye maisha yangu, historia ya Israel na Palestina siyo moja wapo. Jua unalojua upate furaha moyoni mwako mimi hainisaidii chochote hata nikijua hiyo historia.
Hapa mi nafurahia kama mechi ya Simba na Yanga, nafurahia ninachokiona sihitaji kujua historia. Mechi nzuri, sawa nafurahi, sasa nianze kutafuta historia tena?
We unadhani history ita solve huo mgogoro, hata ukirudi kwa Abraham, au uanzie kwa Suleiman, au uanze kwenye Kanaan. Huko utajua wewe hapa mimi naserebuka tu.
 
Walitpoka Gaza wakaenda kuvamia makazi ya Waisrael.
Duh kwahiyo Ukraine kwenda kuvamia Crimea ni makosa kisa tu Urusi iliteka hilo eneo la Ukraine?

Eneo lilikua la palestina, walowezi wa kiyahudi wamelivamia sasa cha wakienda kuwafukuza eti ugaidi? Sasa toka lini kumfukuza mvamizi ni ugaidi.
 
Walikua wanakandamizwa tu sasa uvumilivu umeisha. Mbona Ukraine mnamuunga mkono why sio palestina? Huu unafiki ni kwa faida ya nani
Ukraine alichokozwa, Russia ali mega Crimea, sasa kaanza kutaka nchi nzima, kweli hapo kuna haja ya kukemea.
Palestina wanakosea kutaka kuwaua wenzao wiliokaa nao kwa miaka yote hiyo. Unaposema unataka ku "wipe off" taifa moja kwenye uso wa dunia hatuwezi kukuunga mkono.

Hamas walikosea hata kama hutaki kukubali, historia haitawasaidia kwenye hili, tafuteni namna ya ku coexist, otherwise mtaona mnaonewa na kutaka kuwa victim kila siku.

Kama wanadhani uvumilivu umewashinda basi waachwe wapigane msilalamike, Ikiwa HAMAS wanatetea Palestine existance basi na Israel wanatetea existance yao vile vile. lakini wasitafute huruma baada ya kufanya fujo, kunamajukwaa chungu nzima wangepeleka malalamiko yao.

Hayati Arafat alijitahidi, Mahamud Abbas anajitahidi wao hamasi wanaona hiyo siyo njia sahihi, basi wacha watwangane.
 
Duh kwahiyo Ukraine kwenda kuvamia Crimea ni makosa kisa tu Urusi iliteka hilo eneo la Ukraine?

Eneo lilikua la palestina, walowezi wa kiyahudi wamelivamia sasa cha wakienda kuwafukuza eti ugaidi? Sasa toka lini kumfukuza mvamizi ni ugaidi.
Lini hilo eneo lilikuwa la Palestina? nilikwambia historia ya lile eneo haitusaidii, na sijui unaanzia wapi wewe. ninachotaka kusema Israel wana haki kuwa pale na hakuna wa kuwaondoa, Palestina wakitaka kuishi wakubali kuishi nao.

Mnachotafuta hakipo. Mnataka historia hata mkiifuata bado hao palestina hawatakuwa na haki hiyo wanayodhani wanayo.
 
Ukraine alichokozwa, Russia ali mega Crimea, sasa kaanza kutaka nchi nzim
Yeah same as Israel, walichokoza Palestina kwa kupoka maeneo yao na kila mwaka walowezi wa kiyahudi wanachukua maeneo ya kipalestina..kwa takwimu tu zaidi ya 40% ya ardhi ya Palestina (Narudia tena ARDHI ya Palestina sio israel) inakaliwa na walowezi wa Kiyahudi.

Sasa swali langu hiki kina tofauti gani na wanachofanya Russia huko crimea au Donbass? Why mnakua wanafiki wakati makosa ni yale yale.
Palestina wanakosea kutaka kuwaua wenzao wiliokaa nao kwa miaka yote hiyo. Unaposema unataka ku "wipe off" taifa moja kwenye uso wa dunia hatuwezi kukuunga mkono.
Lini palestina wamesema hivyo? Au Hamas ndio Palestina? Nachofahamu Israel ndio wamefanya ethnic cleansing kwa kufukuza watu kutoka Gaza na kumbuka zaidi ya wapalestina million 2 walishakimbilia huko america ya kusini na uhamishoni kwingine maana wamezuiwa kamwe kukanyaga ardhi hiyo. Kama sio ethnic cleansing ni nini?
Hayati Arafat alijitahidi, Mahamud Abbas anajitahidi wao hamasi wanaona hiyo siyo njia sahihi, basi wacha watwangane.
Acha kujitoa ufahamu, kule westbank umewahi sikia kuna vita? Ila ndio mmejitanua kwa ku occupy maeneo zaidi ya 40% ambayo ni makazi rasmi ya palestina. Hapa wengi naona hamuelewi wanachopigania sio Israel iondoke bali ISIKALIE maeneo ya PALESTINA. Mfano West Bank ni Palestina ila kuna waisrael zaidi ya laki 5 wamehamia huko na kupora ardhi sasa hapo nani mchokozi.
Kama wanadhani uvumilivu umewashinda basi waachwe wapigane msilalamike, Ikiwa HAMAS wanatetea Palestine existance basi na Israel wanatetea existance yao vile vile.
Palestine wanapigania existence ila Israel wanapigania kujitawanya sio existence. Kama existence basi Palestine haijawahi kuwa threat maybe Iran au hezbollah not palestina. Wao wanataka kuhodhi maeneo mengi zaidi ndio maana walowezi kila mwaka wanapora ardhi.
lakini wasitafute huruma baada ya kufanya fujo, kunamajukwaa chungu nzima wangepeleka malalamiko yao.
Funyo gani wamefanya? Mbona Ukraine inafanya fujo dhidi ya Russia ila bado mnaipa silaha na support? Ila wakifanya Palestina wanaonekana wakorofi? Ni sawa na kusema binti akibakwa asipige kelele akubali tu anajisiwe maisha yaendelee!!

Really?
 
Lini hilo eneo lilikuwa la Palestina? nilikwambia historia ya lile eneo haitusaidii, na sijui unaanzia wapi wewe.
Hao Israel si wana mipaka yao tokea 1948 sasa Gaza na West Bank sio maeneo ya Israel. Swali linakuja why walowezi zaidi ya laki tano wanapora ardhi maeneo ya palestina? Mimi naanzia 1948 na mipaka ya tokea 1967 na 1973 or whatever Gaza na westbank hazikua sehemu ya Israel. Sasa hao walowezi laki 5 wanakaaje kimabavu huko? Wakifukuzwa kwa risasi inakuaje unasema ni uchokozi wa palestina?
ninachotaka kusema Israel wana haki kuwa pale na hakuna wa kuwaondoa
Haki wameitoa wapi? Kwamba palestina hawana haki ya kuishi palestina? Ukisema Bible nitakuita muongo maana kibiblia nchi ya ahadi aliyopewa Abraham ilianzia misri, mpaka Syria na Iraq plus palestina nzima. Kwahiyo kama hoja ni NCHI YA AHADI basi hao Israel waende Syria wakaichukue pia, waichuku Misri n.k sio kuforce hapo Palestina wakati nchi ya ahadi sio hapo!!
Mnachotafuta hakipo. Mnataka historia hata mkiifuata bado hao palestina hawatakuwa na haki hiyo wanayodhani wanayo.
Kama ni hivi basi Russia pia ana haki maana kihistoria Crimea ilikua part ya Russia, why mnapinga kurejesha nchi yao ya mababu zao ila kwa Israel mnaona ndio haki?

Huoni unakua na ndimi mbili kwenye jambo moja?
 
Uongo wa videos na taarifa za kuhusu kukutwa kwa mahandaki na silaha kwenye hospital,Jeshi la Israel lilifuta taarifa hizo baada ya kugundulika linadanganya na kutengeneza videos za uongo kuhalalisha mauaji na ushambuliaji wa vituo vya hospital kwani ni kinyume Cha sheria za vita!!

Propganda kubwa sana zinatumika!!View attachment 2816076View attachment 2816077View attachment 2816078
Dah apa namkumbuka Ruge alisema ogopa sana Mungu na Technologia naona sasa hii ni fedheha
 
Hao Israel si wana mipaka yao tokea 1948 sasa Gaza na West Bank sio maeneo ya Israel. Swali linakuja why walowezi zaidi ya laki tano wanapora ardhi maeneo ya palestina? Mimi naanzia 1948 na mipaka ya tokea 1967 na 1973 or whatever Gaza na westbank hazikua sehemu ya Israel. Sasa hao walowezi laki 5 wanakaaje kimabavu huko? Wakifukuzwa kwa risasi inakuaje unasema ni uchokozi wa palestina?

Haki wameitoa wapi? Kwamba palestina hawana haki ya kuishi palestina? Ukisema Bible nitakuita muongo maana kibiblia nchi ya ahadi aliyopewa Abraham ilianzia misri, mpaka Syria na Iraq plus palestina nzima. Kwahiyo kama hoja ni NCHI YA AHADI basi hao Israel waende Syria wakaichukue pia, waichuku Misri n.k sio kuforce hapo Palestina wakati nchi ya ahadi sio hapo!!

Kama ni hivi basi Russia pia ana haki maana kihistoria Crimea ilikua part ya Russia, why mnapinga kurejesha nchi yao ya mababu zao ila kwa Israel mnaona ndio haki?

Huoni unakua na ndimi mbili kwenye jambo moja?
Haya waachwe wapigane mshindi achukue kila kitu, na msilalamike maana hakuna jawabu linaloweza kukupa auheni kwenye mgogoro huu. Ardhi ile hata ikigawanywa mara ngapi Palestine hawaridhiki, wao wanataka ardhi yote, na hilo haliwezekani. Hivyo suluhu hapa waachwe wapigane, maana hakuna anayepigwa bali wanapigana. Mshindi abebe kila kitu. Na atawale milele.
 
Yeah same as Israel, walichokoza Palestina kwa kupoka maeneo yao na kila mwaka walowezi wa kiyahudi wanachukua maeneo ya kipalestina..kwa takwimu tu zaidi ya 40% ya ardhi ya Palestina (Narudia tena ARDHI ya Palestina sio israel) inakaliwa na walowezi wa Kiyahudi.

Sasa swali langu hiki kina tofauti gani na wanachofanya Russia huko crimea au Donbass? Why mnakua wanafiki wakati makosa ni yale yale.

Lini palestina wamesema hivyo? Au Hamas ndio Palestina? Nachofahamu Israel ndio wamefanya ethnic cleansing kwa kufukuza watu kutoka Gaza na kumbuka zaidi ya wapalestina million 2 walishakimbilia huko america ya kusini na uhamishoni kwingine maana wamezuiwa kamwe kukanyaga ardhi hiyo. Kama sio ethnic cleansing ni nini?

Acha kujitoa ufahamu, kule westbank umewahi sikia kuna vita? Ila ndio mmejitanua kwa ku occupy maeneo zaidi ya 40% ambayo ni makazi rasmi ya palestina. Hapa wengi naona hamuelewi wanachopigania sio Israel iondoke bali ISIKALIE maeneo ya PALESTINA. Mfano West Bank ni Palestina ila kuna waisrael zaidi ya laki 5 wamehamia huko na kupora ardhi sasa hapo nani mchokozi.

Palestine wanapigania existence ila Israel wanapigania kujitawanya sio existence. Kama existence basi Palestine haijawahi kuwa threat maybe Iran au hezbollah not palestina. Wao wanataka kuhodhi maeneo mengi zaidi ndio maana walowezi kila mwaka wanapora ardhi.

Funyo gani wamefanya? Mbona Ukraine inafanya fujo dhidi ya Russia ila bado mnaipa silaha na support? Ila wakifanya Palestina wanaonekana wakorofi? Ni sawa na kusema binti akibakwa asipige kelele akubali tu anajisiwe maisha yaendelee!!

Really?
Yani wewe huoni kuwa HAMAS ni tatizo? au HAMAS sio Wapalestina? sasa kwakuwa hutuwezi kuwatofautisha HAMAS na wapalestina inabidi ama raia wema wawatenge HAMAS au kipigo kiwapate wote.

Huwezi kusema PLO pekee ndio Wapalestina na HAMAS sio wapalestina.

HAMAS wanajona wajanaja lakini wamesababisha raia wasiokuwa na hatia kuuwawa na wengine kupoteza makazi.

Kwa msimamao wako wa KIHAMAS, wacha waendelee kutwangana tu, na mpaka mshindi apatikane na huyo aheshimike na kila mtu mwenye mapenzi mema.

Kila la kheri mkuu.
 
Ardhi ile hata ikigawanywa mara ngapi Palestine hawaridhiki, wao wanataka ardhi yote, na hilo haliwezekani.
Wapi wamesema wanataka yote, wanachopinga ni walowezi wa kiyahudi laki 5 kuishi kimabavu kwenye ardhi yao.
Hivyo suluhu hapa waachwe wapigane, maana hakuna anayepigwa bali wanapigana.
Mbona Ukraine hamsemi hivi kuwa waachwe wapigane na Russia ili mshindi achukue vyote.
maana hakuna anayepigwa bali wanapigana.
Wanapigana wapi, Wapalestina ndio wanapigwa. Nchi hairuhusiwi kuwa na jeshi, silaha umeme au maji utasemaje wanapigana?
 
Yani wewe huoni kuwa HAMAS ni tatizo? au HAMAS sio Wapalestina? sasa kwakuwa hutuwezi kuwatofautisha HAMAS na wapalestina inabidi ama raia wema wawatenge HAMAS au kipigo kiwapate wote
Acha ushabiki kule westbank hakuna Hamas ila mbona kila siku walowezi wanaiba ardhi. Yaani mnajifichia kwenye kichaka cha Hamas utadhani maeneo ambayo Hamas haina control ndio kuna amani?
Huwezi kusema PLO pekee ndio Wapalestina na HAMAS sio wapalestina.
Sasa kikundi kimoja kinahusika vipi na wapalestina wote? Wamekufa watoto 5000 unadhani hao ni Hamas? Huwezi kuuwa kila mtu Nigeria kisa Boko Haram imevamia Cameroon.
Kwa msimamao wako wa KIHAMAS, wacha waendelee kutwangana tu, na mpaka mshindi apatikane na huyo
Ndio hivyo tutaendelea kupigania haki ya wanaoonewa kma mnavyowapigania Ukraine. Mahaba ya kidini yamekujaa kichwani jifunze kwa Askofu Gwajima na Pastor Mgogo wamegoma kuunga mkono hao walowezi. Unataka kusema unajua dini sana kuliko Gwajima au Mgogo?
 
Acha ushabiki kule westbank hakuna Hamas ila mbona kila siku walowezi wanaiba ardhi. Yaani mnajifichia kwenye kichaka cha Hamas utadhani maeneo ambayo Hamas haina control ndio kuna amani?

Sasa kikundi kimoja kinahusika vipi na wapalestina wote? Wamekufa watoto 5000 unadhani hao ni Hamas? Huwezi kuuwa kila mtu Nigeria kisa Boko Haram imevamia Cameroon.

Ndio hivyo tutaendelea kupigania haki ya wanaoonewa kma mnavyowapigania Ukraine. Mahaba ya kidini yamekujaa kichwani jifunze kwa Askofu Gwajima na Pastor Mgogo wamegoma kuunga mkono hao walowezi. Unataka kusema unajua dini sana kuliko Gwajima au Mgogo?
Kwahiyo Gwajima huyu mkono wa baunsa ndie unamtumia kama reference?
Kwani na wewe akili zako kama Gwajima ambaye Birmingham hajui iko bara gani [emoji2]
 
Kwahiyo Gwajima huyu mkono wa baunsa ndie unamtumia kama reference?
Kwani na wewe akili zako kama Gwajima ambaye Birmingham hajui iko bara gani [emoji2]
Ni Askofu hivyo anajua dini kuliko sisi wote, hayo ya baunsa au nini madhaifu tu ya kila mtu. Ni sawa na Chenge alikua fisadi ila haiondoi ukweli kwamba alikua anajua sheria sana kuliko kiongozi yoyote hii nchi.
 
Uhudi Barak, aliye kuwa waziri mkuu wa Israel, alisema Israel ndio walichimba hilo turnel hpo Al shifaa Hospital nadhani hata Hamasi sidhani kama walikuwa na habari nalo 😄

Israel kact film yo Hollywood kudanganya kakamata wapiganaji wawili wa Hamasi, bada ya dunia nzima kuwacheka wako wapi matekwa wa Hamasi 😄

Eti mwanajeshi wa Israel kasogea kwenye turnel anawambia vijana wa Hamasi wa surrender hi kali, hawajui hata ku acting, Hamasi atoke kwenye turnel na Muisrael asogee kwenye turnel vile bila hata woga hi kali, mpaa watu wanacheka

Hayo waonyesheni basi sura zao na majina yao ili Hamasi wakubali au wakanushe, lakini wamejua wazi Hamasi atawasuta kwa dalili.

Wacheni wajifurahishe


View: https://youtu.be/pRiLE9xk49c?si=BD9khlGifaxrj4pL
 
Uhudi Barak, aliye kuwa waziri mkuu wa Israel, alisema Israel ndio walichimba hilo turnel hpo Al shifaa Hospital nadhani hata Hamasi sidhani kama walikuwa na habari nalo 😄

Israel kact film yo Hollywood kudanganya kakamata wapiganaji wawili wa Hamasi, bada ya dunia nzima kuwacheka wako wapi matekwa wa Hamasi 😄

Eti mwanajeshi wa Israel kasogea kwenye turnel anawambia vijana wa Hamasi wa surrender hi kali, hawajui hata ku acting, Hamasi atoke kwenye turnel na Muisrael asogee kwenye turnel vile bila hata woga hi kali, mpaa watu wanacheka

Hayo waonyesheni basi sura zao na majina yao ili Hamasi wakubali au wakanushe, lakini wamejua wazi Hamasi atawasuta kwa dalili.

Wacheni wajifurahishe


View: https://youtu.be/pRiLE9xk49c?si=BD9khlGifaxrj4pL

Si mlisema hakuna tunnel
 
Back
Top Bottom