Hatimaye jana uso kwa uso huyu Kicheche na cha moto kakipata

Huyu itakuwa ndio kama aliemkata kuku wangu kichwa nini..?maana juzi nimekuta kuku wangu mkubwa amekufa kichwa kimekatwa kama aliechinjwa na hakipo...
 
Huyu itakuwa ndio kama aliemkata kuku wangu kichwa nini..?maana juzi nimekuta kuku wangu mkubwa amekufa kichwa kimekatwa kama aliechinjwa na hakipo...
Pole mkuu huyu mdudu katili sana.
 
Vicheche nuksi sana... Ila kuna yule mwingine anakamata anachinja hlf ananyonya damu tu , hali nyama hata kidogo... sijui anaitwaje
Ata huyu siyo aisei, kaangusha viranga wawili faster in a minute.. Mama yao alimshinda kamtia jeraha mgongoni.
 
Mfanye kitoweo
 
Huo sio ubalozi mkuu. Hiyo ndo ikulu yenyewe...! Yaani hapo haruhusiwi hata kugusa geti..! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

Ni rahisi mtoto kuchezea maziwa ya mama yake kuliko kuchezea makende ya baba yake. Kaguta Museveni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…