Hatimaye jana uso kwa uso huyu Kicheche na cha moto kakipata

Hatimaye jana uso kwa uso huyu Kicheche na cha moto kakipata

Povu la nini tena mkuu....[emoji12] [emoji12]
Yaani kicheche tu, ndioumekuja kuanzisha uzi.....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Je ungeua hata fisi tu, siungefanya sherehe ya kujiona shujaa....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mimi shujaa ata wewe ukiingia cha kike nakukojoza mshamba wewe..
 
Muda sasa takribani mwaka na miezi nasumbuana na huyu kicheche. Kicheche huyu bwana ni kama alikuwa anatumwa, amekula viranga na kuku wangu sana, huwa anafumua nyavu za banda na kutinga ndani usiku, anasomba vifaranga kimyakimya nikiamka mama kuku hana viranga.

Mara chache sana huwa inatokea mama kuku akistuka nitaamshwa na mayowe makubwa natoka nduki bandani mara mlango ukilia tu, huyo anasepa.

Sasa jana shetani wake kazidiwa ujanja na Mungu wangu akamtuma mapema sana, kabla ya saa mbili maana amezoea huwa anazamia mida ya wachawi usiku wa manane, jana nikiwa nipo nje napunga upepo natega nikaone taarifa ya habari nikasikia kelele za mama kuku, nikatoka nduki hadi bandani abadani USO KWA USO na huyo mbaya wangu kicheche, nilichofanya nikazima taa na kuwasha hivyo hali ile ili mchanganya sana KICHECHE akapotea njia yake aliyochonga kwa pesa ya makinikia.

Mungu saidia nikakimbilia upande alipo chonga njia, ile anataka apande nilimpa buti la haja, akatoa mlio kama simba, kidogo nijikojolee kujikaza kiume nikamuita mshikaji wangu njoo huku vita ni vita mura takenya mura waituuh..(hapa najua ni akina mwita na bhoke wameelewa).

Kicheche kanichimba biti, na Mungu saidia nikapata kipande cha ubao nikaenda naye SAKO KWA BAKO anakala rugu ya kichwa mara chini ila sema ukweli hii vita ilikuwa kubwa mno..! Mungu saidia nikawa nimeshinda vita na kicheche mwenyewe huyu hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 621811View attachment 621812View attachment 621813View attachment 621814

Wataalam mnaojua vicheche njooni mtwambie huyu kicheche wa namna gani, na anawezaje kuishi mjini kabisa dsm, katikati ya mji maana sikai maeneo ya mashambani.

Nasubiri vita iendelee maana naamini atakuwa na familia niombeni nishinde vita hii.

ASANTENI .
Hongera umepata nyama pori ila mambo kama haya wanaume wa Dar,mnawapta point tatu nzima wanaume wa mikoani,yaani kicheche anakutisha hadi unamuita mshikaji wako akusaidie! Chaaa,eti vita ilikuwa kali! Wewe ,na kicheche? Sisi huku dogo tu wa shule ya msingi anapambana na simba dume,Khaaa!
 
Hongera umepata nyama pori ila mambo kama haya wanaume wa Dar,mnawapta point tatu nzima wanaume wa mikoani,yaani kicheche anakutisha hadi unamuita mshikaji wako akusaidie! Chaaa,eti vita ilikuwa kali! Wewe ,na kicheche? Sisi huku dogo tu wa shule ya msingi anapambana na simba dume,Khaaa!
Acha ushamba wewe kicheche huyu ni hatari sana, waaulize wajuvi wa mambo watakwambia.
 
Huhuhuhuh..!

Sasa kama angetaka vita iwe ya dunia aguse ubalozi wangu aone..![emoji137][emoji137][emoji137]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Mimi shujaa ata wewe ukiingia cha kike nakukojoza mshamba wewe..
images-1.jpg

[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hata wa mkoani akirukiwa na kicheche kwenye Pumb..u ndio utajua kachumbari ni mboga au inasaidia.
 
Back
Top Bottom