Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzee ana majungu sana huyoAona aibu kuangalia camera, sasa hapo anajadili nini kama sio kujikosha tu.
Sasa anayo nafasi nzuri ya kuwatetea wana Kongwa
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai (kushoto) leo Aprili 13, 2022 amehudhuria kikao cha kwanza cha Bunge tangu kujiuzulu wadhifa huo Januari 6, 2022. Pichani akiteta jambo na Mbunge wa Ushetu, Emmanuel Cherehani.
Chanzo: TBC online
Ana ushujaa gani, angekuwa shujaa asingeomba msamaha, boya tu huyoShujaaa Job kama job wa kwenye bible
USSR
Aje sasa ajenge hoja kwamba mama anaupiga mwingi atake asitake ataendelea kutawala hadi atakaposema basi. dah ila pesa c mchezo aisee aliposikia tu afutwe ubunge kwenye mitandao,jamaa kaibuka fasta kuwahi siti
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai (kushoto) leo Aprili 13, 2022 amehudhuria kikao cha kwanza cha Bunge tangu kujiuzulu wadhifa huo Januari 6, 2022. Pichani akiteta jambo na Mbunge wa Ushetu, Emmanuel Cherehani.
Chanzo: TBC online
Hela tamu
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai (kushoto) leo Aprili 13, 2022 amehudhuria kikao cha kwanza cha Bunge tangu kujiuzulu wadhifa huo Januari 6, 2022. Pichani akiteta jambo na Mbunge wa Ushetu, Emmanuel Cherehani.
Chanzo: TBC online
Kiburi huzaa dhambiKumbukizi murua kabisa .
'Pambana na kitu kingine siyo Ndugai'
By Jobo From Tozo Nia.View attachment 2185855
Chezea njaa na uroho wa madaraka!! Kaona aje ili asijefukuzwa kama yeye alivyomfukuza Lissu...Aona aibu kuangalia camera, sasa hapo anajadili nini kama sio kujikosha tu.
Nimekosa miye, nimekosa mimi..Ana ushujaa gani, angekuwa shujaa asingeomba msamaha, boya tu huyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aje sasa ajenge hoja kwamba mama anaupiga mwingi atake asitake ataendelee kutawala hadi atakaposema basi. dah ila pesa c mchezo aisee aliposikia tu afutwe ubunge kwenye mitandao,jamaa kaibuka fasta kuwahi siti