Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo kwenye karne ya 21 lakini bado kuna sehemu watanzania ndani ya miaka 60 ya uhuru wagombea maji ya kunywa.Hatimaye, sasa tunasubiri mchango wake kupeleka maendeleo jimboni kwake kongwa - jimbo ambalo lipo hoi kimaendeleo.
View attachment 2185985
Kenge mabakabaka huyuKumbukizi murua kabisa .
'Pambana na kitu kingine siyo Ndugai'
By Jobo From Tozo Nia.View attachment 2185855
labda kapitishwa kwenye kale kachumba ka mateso, alikuwa anapewa bakora viboko 39 kasoro mojaWamemfanya nini mbona anakaa kwa shida 😂
Shujaaa Job kama job wa kwenye bible
USSR
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai (kushoto) leo Aprili 13, 2022 amehudhuria kikao cha kwanza cha Bunge tangu kujiuzulu wadhifa huo Januari 6, 2022. Pichani akiteta jambo na Mbunge wa Ushetu, Emmanuel Cherehani.
Chanzo: TBC online