Hatimaye Job Ndugai arejea Bungeni leo Aprili 13, 2022

Hatimaye Job Ndugai arejea Bungeni leo Aprili 13, 2022

Tujikumbushe

FB_IMG_16498324663991522.jpg
 
Ndugai kwa Sasa ni lulu kwa Tanganyika. Tusimkatishe tamaa tunamhitaji sana kwa mazingira ya Sasa!! Tumtie moyo aitetee Tanganyika ambayo ni kama yatima kwa Sasa!
 
Mgonjwa mgonjwa tu atakua mtu wakukaa kimya kabisa hapendi kutibiwa kwa urahisi India alikokua
 
Aona aibu kuangalia camera, sasa hapo anajadili nini kama sio kujikosha tu.
Kuna umbali mrefu kidogo kutoka kwenye viti vya wabunge mpaka sehemu zenye camera hvy sio rahisi mbunge kujua anapigwa picha (lbl awe anaongea) kwahy hapo hakuna aibu yoyote anayoiona kuogopa kuangalia camera.
 
Ulimi,ulimi, nomaa!! Kiungo kidogo sana! Tizama dhahma kiliosababisha
 
Back
Top Bottom