Hatimaye Job Ndugai arejea Bungeni leo Aprili 13, 2022

Hatimaye Job Ndugai arejea Bungeni leo Aprili 13, 2022

Back in a house once again,vumilia tu mjomba,watasema sana mwisho watanyamaza,cha muhimu wewe unaendelea kuzichakata posho kwa raha zako...
 
Wamemfanya nini mbona anakaa kwa shida [emoji23]
Anakaa kama huyu hapa?
JamiiForums1177156996.jpg
 
Maisha yake yanafikia mwishomwisho lema`s prophesy is knocking the door [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Sasa hivi hayuko chini ya kifungo cha nyumbani kama mlivyokuwa mnasema?
 
Hatimaye, sasa tunasubiri mchango wake kupeleka maendeleo jimboni kwake kongwa - jimbo ambalo lipo hoi kimaendeleo.

1649841668051.png
 
Nae ataanza kusema mheshimiwa spika mda wangu utunze, naomba kumalizia swali, Qmmke
 
Nakerekwa sna kwa wano muulizia kila siku ndugai hasa chadema

Mtu tajiri kama ndugai na marupurupubyote aliyonayo Bado mnuonamtafuta wa nn
 
Back in a house once again,vumilia tu mjomba,watasema sana mwisho watanyamaza,cha muhimu wewe unaendelea kuzichakata posho kwa raha zako...
Hiinndio point ya muhimu mtu unakila kitu na posho juu nzuri kasoro cheo ya Kaz gani wkt nimeshatumikia cheo hcho aise mm sioni sababu ya kumcheka ndugai Tena ukimtizama Ana nuru kbsa
 
Back
Top Bottom