Jamani mimi ni mtaalamu wa nadharia za njama (ConsipiracyTheoretician) by profession lakini pamoja na facts nilizo nazo, nimejaribukutengeneza theory kibao kuhusiana nakutekwa kwa Kibanda, lakini kila niki-feed facts katika hypothesisnilizotengeneza zinakataa. Nafasi iliyokuwa imebaki ku-prove theory zanguilikuwa ni kumsikiliza kibanda mwenyewe face to face na kuyasoma mawazo yake. Leokibanda kaongea kwa mara ya pili tokea arudi kutoka Afrika ya Kusini akiwaametulia zaidi channel 10 katika kipindi cha Generali on Monday. Pamoja nakuzunguka sana na kujitahidi asitaje jina la mtu wala taasisi, lakini bilakujua amewaondoa ambao walikuwa wanatajwa kuhusika na hivyo kutusaidia watutuliokuwa tunafuatilia sakata lake tukiwa na nadharia nyingi ku-narrow down nakupunguza nadharia na kubakiwa na chache ambazo zina mantiki.
Facts Alizoziongea kibanda Channel 10 leo ambazozina-eliminate theory nyingine zote ni hizi,
1. Watuwaliomteka wana nguvu na uwezo wa kifedha
2. Watuwaliomteka wana madaraka wanauwezo wa kuingilia uchunguzi na kuamrishauchunguzi uelekee wanakokutaka wao.
3. Wapowatumishi wakubwa wa serikali waliostaafu kwenye vyombo vya dola wanaofuatiliauchunguzi huu bila kuyumbishwa.
4. Vyombovya dola na baadhi ya waandishi wamefanya jitihada za makusudi kupotosha tukiozima la kutekwa kwake
5. Watekajisio watu barabarani ni watu wenye utaalamu wa kusomea wa jinsi ya kumdhurubinadamu
6. Tukiohili lina uhusiano wa moja kwa moja na kazi yake kibanda kama mwandishi namtazamo wake katika yale anayoyaandika.
Kwa facts hizi alizoongea Kibanda ukijumlisha namwonekano wake (body language) pale studio kuna theory moja tu ndio inabakinayo ni Kibanda kateswa na kikundi cha watu waliopo serikalini wenye madarakaau wanaotaka madaraka ambao wana baraka zote za mkuu wan chi (Raisi) ndio maanahakuna linalofanyika kuhusiana na kesi ya kibanda zaidi ya siku 100 tokea ateswe.
Facts Alizoziongea kibanda Channel 10 leo ambazozina-eliminate theory nyingine zote ni hizi,
1. Watuwaliomteka wana nguvu na uwezo wa kifedha
2. Watuwaliomteka wana madaraka wanauwezo wa kuingilia uchunguzi na kuamrishauchunguzi uelekee wanakokutaka wao.
3. Wapowatumishi wakubwa wa serikali waliostaafu kwenye vyombo vya dola wanaofuatiliauchunguzi huu bila kuyumbishwa.
4. Vyombovya dola na baadhi ya waandishi wamefanya jitihada za makusudi kupotosha tukiozima la kutekwa kwake
5. Watekajisio watu barabarani ni watu wenye utaalamu wa kusomea wa jinsi ya kumdhurubinadamu
6. Tukiohili lina uhusiano wa moja kwa moja na kazi yake kibanda kama mwandishi namtazamo wake katika yale anayoyaandika.
Kwa facts hizi alizoongea Kibanda ukijumlisha namwonekano wake (body language) pale studio kuna theory moja tu ndio inabakinayo ni Kibanda kateswa na kikundi cha watu waliopo serikalini wenye madarakaau wanaotaka madaraka ambao wana baraka zote za mkuu wan chi (Raisi) ndio maanahakuna linalofanyika kuhusiana na kesi ya kibanda zaidi ya siku 100 tokea ateswe.