Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

Kama huelewi 50 50 tukueleweshe Kwa lugha Rahisi maana yake unachukua 50 percent mkupuo na monthly pension utalipwa 50 percent ya mshahara ukikuwa unapata maisha Yako yote

Ukitaka 80 percent mkupuo ina maana utalipwa monthly pension 20 percent ya mshahara wako maisha Yako yote kitu ambacho Sio Afya sana Kwa mstaafu
Kuna mstaafu ulimuona analalamikia hicho kikokotoo cha zamani? Au ni nyinyi wenyewe tu ndiyo mliamua kuzikwapua hela za michango ya wafanyakazi na kufanyia mambo yenu mengine nje ya utaratibu?
 
Monthly pension itashuka sana waulize wastaafu waliolipwa mkupuo asilimia 25 wanaishi maisha ya Raha sana pension ya Kila mwezi hawapishani sana na walioko ofisini sababu monthly pension ni kama 75 percent ya mshahara walikuwa wanapata

Ukiweka asilimia 50 maana yake unataka monthly pension Yako iwe nusu ya mshahara uliokuwa Ukipata kazini haiko vizuri Kwa mstaafu

Binafsi ningepekeza wastaafu walipwe asilimia kumi tu mkupuo ili monthly pension Yao iwe asilimia 90 ya mshahara waliokuwa wakipata kazini

Lakini mtoto akililia wembe mpe ndicho serikalli imefanya
Niache kuishi kwa raha wakati napokea 100% ya mshahara wangu nije kuishi kwa raha wakati napokea 75% ya mshahara?! kama sielewi hivi
 
Akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali Bungeni, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imesikia kilio cha Wastaafu na hivyo imepandisha Malipo ya Mkupuo kutoka 33% hadi 40%

Pia, Dkt. Mwigulu amesema Rais Samia ameagiza kuongezwa kwa malipo hayo kwa Wastaafu waliokuwa wakilipwa 25% sasa watalipwa 35% katika Mwaka huu wa Fedha


====

Pia soma: LIVE - Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, leo Juni 13, 2024 Bungeni, Dodoma
Kazi nzuri ya mama,bila shaka wataendelea kulegeza Hadi asilimia 50% ya awali.
 
Akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali Bungeni, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imesikia kilio cha Wastaafu na hivyo imepandisha Malipo ya Mkupuo kutoka 33% hadi 40%

Pia, Dkt. Mwigulu amesema Rais Samia ameagiza kuongezwa kwa malipo hayo kwa Wastaafu waliokuwa wakilipwa 25% sasa watalipwa 35% katika Mwaka huu wa Fedha


====

Pia soma: LIVE - Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, leo Juni 13, 2024 Bungeni, Dodoma
At least waweke 60%
 
Ni hatua nzuri kuelekea kuboresha maisha ya wastaafu.
Hongera sana kwa hili Raisi wetu Samia Hassan Suluhu.
Wananchi wanataka mambo kama haya.
 
Akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali Bungeni, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imesikia kilio cha Wastaafu na hivyo imepandisha Malipo ya Mkupuo kutoka 33% hadi 40%

Pia, Dkt. Mwigulu amesema Rais Samia ameagiza kuongezwa kwa malipo hayo kwa Wastaafu waliokuwa wakilipwa 25% sasa watalipwa 35% katika Mwaka huu wa Fedha


====

Pia soma: LIVE - Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, leo Juni 13, 2024 Bungeni, Dodoma
Bado, kwanini isiwe 90%, hizi ni fedha za watu asee
 
Monthly pension itashuka sema waliobeza kikokotoo hawajielewi kuwa kadri unavyochukua Hela ya mkupuo kubwa monthly pension inashuka na Maisha ni monthly pension sio Hela ya mkupuo

Hela ya mkupuo hukata upesi
Huo ndio ukweli, ila ajabu watu wanaopinga ni wale ambao bado wako kazini.
Wastaafu wako kimya maana ndio wanaojua mbivu na mbichi
 
Monthly pension itashuka sema waliobeza kikokotoo hawajielewi kuwa kadri unavyochukua Hela ya mkupuo kubwa monthly pension inashuka na Maisha ni monthly pension sio Hela ya mkupuo

Hela ya mkupuo hukata upesi
Hv mfano ukilipwa 50% kwa mkupuo, hy 50% inayobaki ni unalipwa mpaka itakapoisha au utakapokufa?
 
Back
Top Bottom