Kwa nini mtu asilipwe hela yake yote? Mtu kafanya kazi kwa asilimia 100 kwa nini alipwe asilimia 30 ya mafao yake? Kwa nini wabunge wao wanachukua mzigo wote hamuwawekei hiyo pesa? Hiyo asilimia inayobaki kwenu ndio mnaichezea kwa safari zisizo za lazima. Hebu hili lifike mwisho sasa. MTU CHAKE APEWE!
Nadhan ingekuwa ni OPTION ili kila mtu achague.
Shida maamuzi mengi hufanyika kwa idea ya mtu mmoja tu ; while decision Kama hizo zilitakiwa ziwe evidence based statistically significance kwamba based on findings
Ulichunguza wastaaf wengi are not satisfied na hii kitu , govt inatumia mabavu kuwa mfuko utakufa,
maafrica ni matumbili, hivi why can’t they cut off expenditures , ma vi 8
, mishahara ya wabunge, mfano Rais mstaafu anakula 80% ya salary Yake ya 198M plus mke wake pia zote hizo za nini wakati majitu hayo ni majizi tu ; safari za Rais zipunguzwe akae ofisini afanye kazi, peediem ya Rais na jopo lake ni pesa ndefu…. Why hawa focus kwenye kuminimize hizo cost ambazo ni sio muhimu.
Mtu anastaafu akiwa na 60 , unampa 40M , anakufa at his 66, hiyo sio dhulma, ?
Serikali ya TZ ya hovyo snaa . Ila siwalaumu. Tatizo kubwa wasomi hamtàki kujipenyeza , chukueni form muingie bungeni , msiache standard 7 failures ndio wawatungie sera, tatizo lingine hata wasomi nao wakifika juu wakipewa ofisi wanakuwa machawa. Serikali, wananchi na wasomi wote ni sehemu ya tatizo.
Mkufe tu , tulishachomoka na tuliona mapema TZ hakuna maisha, ni Jehanam ya duniani.
Katika position ya Urais , kipi Samia anafanya ambacho JPM, JK BEN hawakuweza kufanya, yote yanayofanyika TZ Hata wewe unaesoma ukipewa nchi you can do the same .hakuna viongozi ambao ni bright na wanaoitazama TZ in the next 50 years to come . Wengi wanaangalia usawa wa pua zao ndio mana ni majizi na wabinafsi