Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

Why umlazimishe mtu kumshikia hela zake?
Kwani amelukwa na akili na je kuna aliezifuja hela zake akarudi kuisumbua serikali ama kudai? Matendo na sheria zingine zinatoa indicators kwa jamii na raia kwa ujumla kuwa serikali yetu imefilisika
Infact, kuna namna Serikali kama Mwajiri inawachukulia waajiriwa wake namna ambayo kwa kweli ni ya kuwaona kama aina fulani ya watu hivi..
 
Labda uwe na maradhi ya kufa kesho

Mkuu wa Majeshi Mstaafu Msuguri Sasa hivi ana miaka 104 na Yuko fit alistaafu jeshi akiwa na miaka 60 anaendelea kulipwa pension monthly Toka astaafu miaka 44 iliyopita akiwa na miaka 60

Usicheze na pension ya mwezi Mzee Yuko fit Tu na umri wake WA Miaka 104 hasumbui watoto wala ndugu

Kama una maradhi utajijua lakini mifuko ya pension haiwezi Fanya maamuzi Kwa kuangalia wagonjwa ambayo maradhi wengine waklkoyatoa wanaojua wenyewe yawe wengine waneyapata sababu ya life style wakiwa kazini wakaendekeza umalaya hadi kupata ukimwi huko wanaishi Tu Kwa matumaini kifo wakijua siku yeyote kinatua kwao


Na hao wagonjwa wastaafu ni asilimia ndogo Sana ndio wanataka walipwe chote wakafie mbele wanataka kufa na watu wazima

Serikali isisikilize hiyo migonjwa inaumwa ukimwi hiyo asilimia 40 inatosha msiumize watu wazima Kwa sababu ya kelele za wagonjwa wanaoishi Kwa ARV
Duh! Kiburi cha uzima hiki.
 
Kwakweli sioni uhalali wa serikali kujifanya wema WA kutunza fedha za watu ila ni siasa na ulaghai tuu
Kuna mstaafu analalamikia Bima yake ya Afya kuna baadhi ya huduma hawezi kupata. Sa utasemaje serikali ina huruma wakati maswala muhimu kama afya hawajazingatia alafu eti waseme wanamhifadhia mtu fedha?!?!.
 
Pension kazi yake Sio kujenga nyumba kama hukujenga ndio maana ulaya na marekani wazee miaka 60 hutaka monthly pension zao ziende nyumba za kulea wazee mstaafu huenda kuishi huko na huhudumiwa Kila kitu kuanzia chakula malazi,matibabu ,mavazi nk ili asisumbue ndugu nk kuwa akistaafu Hela inaishia kujenga nyumba na kuaanzisha vimiradi Koko vya kumpa presha afe haraka

Miaka 60 ndio unajenga nyumba na kuanzisha biashara akili kichwan zimo wewe? Una uhakika zimo ? Wewe umri huo ni WA kuishi na monthly pension tu
Hapo we inakuhusu nini, acheni ufisadi
 
Labda uwe na maradhi ya kufa kesho

Mkuu wa Majeshi Mstaafu Msuguri Sasa hivi ana miaka 104 na Yuko fit alistaafu jeshi akiwa na miaka 60 anaendelea kulipwa pension monthly Toka astaafu miaka 44 iliyopita akiwa na miaka 60

Usicheze na pension ya mwezi Mzee Yuko fit Tu na umri wake WA Miaka 104 hasumbui watoto wala ndugu

Kama una maradhi utajijua lakini mifuko ya pension haiwezi Fanya maamuzi Kwa kuangalia wagonjwa ambayo maradhi wengine waklkoyatoa wanaojua wenyewe yawe wengine waneyapata sababu ya life style wakiwa kazini wakaendekeza umalaya hadi kupata ukimwi huko wanaishi Tu Kwa matumaini kifo wakijua siku yeyote kinatua kwao


Na hao wagonjwa wastaafu ni asilimia ndogo Sana ndio wanataka walipwe chote wakafie mbele wanataka kufa na watu wazima

Serikali isisikilize hiyo migonjwa inaumwa ukimwi hiyo asilimia 40 inatosha msiumize watu wazima Kwa sababu ya kelele za wagonjwa wanaoishi Kwa ARV
Unaandika kama katoto au umevuta shisha.
 
Hicho kikokotoo kama ni kizuri hivyo kama wanavyo sema mbona hua hakiwahusu wao wanao kula mezani kuu 🤔 au kwa kua hakiwahusu wao basi liwalo na liwe kwa hawa wazee watajijua 🤔 ugumu uko wapi kwani kurudisha kama kipindi cha nyuma 🤔 serikali iache tamaa hadi kwenye pesa za wazee waliotumikia taifa kwa karibu maisha yao yote
 
Tuchukulie kwamba haukufanya hayo makubwa ujanani.Hiyo ndiyo iwe sababu ya kupewa hela halali yako kidogo?Kwa nini upangiwe mgao wa kitu chako?Huo wema wa kutunziana fedha umeanza lini?
Ishi kwenye point yangu ya kushindwa kufanya makubwa ukiwa kijana.

Anyway, ukiona mstaafu anapambana sana kupata mafao yake ujue huyo hakujipanga akiwa kijana kwahy bora serikali impe kdg kdg ili maslay queen wasije kupita na pesa ya kiinua mgongo ht hy pesa ya mkupuo asipewe.

Afu kngn, kama unapewa 40% kwa mkupuo na 60% mdogo mdogo tena Sir God akikubariki ukakaa muda mrefu hadi ile 60% kupitiliza mbona hamlalamiki?
 
Ngoja tuone, hesabu. Kama ulipostaafu jumla ya pesa yako ni Mil 100, so utalipwa Mil 40 badala ya Mil 33.

Bado ndogo sana.
Ilipwe 90%. Halafu huu mtengo sijui nani aliutega. Hii inakinzana na dhana ya Fanya kazi na update haki yako ya ujira!
 
Akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali Bungeni, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imesikia kilio cha Wastaafu na hivyo imepandisha Malipo ya Mkupuo kutoka 33% hadi 40%

Pia, Dkt. Mwigulu amesema Rais Samia ameagiza kuongezwa kwa malipo hayo kwa Wastaafu waliokuwa wakilipwa 25% sasa watalipwa 35% katika Mwaka huu wa Fedha


====

Pia soma: LIVE - Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, leo Juni 13, 2024 Bungeni, Dodoma
Sugar coating. Tu

Wafanyakazi msikubali

Uhalisia mnatakiwa mpate kikotoo Cha 70% kwa 30%
 
Monthly pension itashuka sema waliobeza kikokotoo hawajielewi kuwa kadri unavyochukua Hela ya mkupuo kubwa monthly pension inashuka na Maisha ni monthly pension sio Hela ya mkupuo

Hela ya mkupuo hukata upesi
Una uhakika wa kuishi? Bora uchukue chako mapema.
 
Ishi kwenye point yangu ya kushindwa kufanya makubwa ukiwa kijana.

Anyway, ukiona mstaafu anapambana sana kupata mafao yake ujue huyo hakujipanga akiwa kijana kwahy bora serikali impe kdg kdg ili maslay queen wasije kupita na pesa ya kiinua mgongo ht hy pesa ya mkupuo asipewe.

Afu kngn, kama unapewa 40% kwa mkupuo na 60% mdogo mdogo tena Sir God akikubariki ukakaa muda mrefu hadi ile 60% kupitiliza mbona hamlalamiki?
Kwa hiyo wastasfu wote ni maabu
Upuuzi mnaokaririshwa umumba

Wabunge vipi au ni jamii hofauti ma wafanyakazi

Kujipanga ujanani ulimaanisha wale rushwa. A wizi je zile post ambazo hazina rushwa na wizi wafanyene?
 
Kwa hiyo wastasfu wote ni maabu
Upuuzi mnaokaririshwa umumba

Wabunge vipi au ni jamii hofauti ma wafanyakazi

Kujipanga ujanani ulimaanisha wale rushwa. A wizi je zile post ambazo hazina rushwa na wizi wafanyene?
Kuna wastaafu hawapangi foleni kufatilia mafao yao, hao waweke pembeni sio wnzko wanaosemewa kwenye h 40% hy n nyie wazee nlioshindwa kujipanga mkiwa vijana na sasa akili imeamka ukiwa umestaafu hvy unataka kufanya kazi ukiwa dkk za jioooooooooooon ndio tunawakuta mnabanana na vijana kwenye shughuli za kijamii badala mpumzike.
 
Monthly pension itashuka sana waulize wastaafu waliolipwa mkupuo asilimia 25 wanaishi maisha ya Raha sana pension ya Kila mwezi hawapishani sana na walioko ofisini sababu monthly pension ni kama 75 percent ya mshahara walikuwa wanapata

Ukiweka asilimia 50 maana yake unataka monthly pension Yako iwe nusu ya mshahara uliokuwa Ukipata kazini haiko vizuri Kwa mstaafu

Binafsi ningepekeza wastaafu walipwe asilimia kumi tu mkupuo ili monthly pension Yao iwe asilimia 90 ya mshahara waliokuwa wakipata kazini

Lakini mtoto akililia wembe mpe ndicho serikalli imefanya
Hivi unajua kwamba hiyo monthly pension unalipwa miaka kumi tu na ikitokea hujafa
basi mzigo ni wako na familia yako?
Ni heri wangeachana na kikokotoo watoe pesa yote kila mtu ajijue
kwani wabunge wanaolipwa mafao yao yote wanaishi vipi?
 
Kuna wastaafu hawapangi foleni kufatilia mafao yao, hao waweke pembeni sio wnzko wanaosemewa kwenye h 40% hy n nyie wazee nlioshindwa kujipanga mkiwa vijana na sasa akili imeamka ukiwa umestaafu hvy unataka kufanya kazi ukiwa dkk za jioooooooooooon ndio tunawakuta mnabanana na vijana kwenye shughuli za kijamii badala mpumzike.
Madogo ambao mnaishi kwa shemeji zenu mna maneno sana. Ebu toa maelezo namna ya kujipanga kwa mwalimu anaye lipwa laki 4 na hana posho yoyote mwaka mzima huku akiwa na wategemezi kadhaa.
 
Kuna mwalimu mmoja alichukuwa hii ya mkupuo, akakimbilia kujenga kijijini anakoishi, akagaiwa watoto kidogo na iliyobaki akawa ananywea pombe mpaka ikakata. Sasa hivi anaishi kimaskini kweli kweli. Nadhani huyo angepata hii ya kila mwezi ingemsaidia zaidi.
kama aliwagawia watoto wanatakiwa wamtunze.
 
Back
Top Bottom