Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

Kuna mstaafu ulimuona analalamikia hicho kikokotoo cha zamani? Au ni nyinyi wenyewe tu ndiyo mliamua kuzikwapua hela za michango ya wafanyakazi na kufanyia mambo yenu mengine nje ya utaratibu?
 
Niache kuishi kwa raha wakati napokea 100% ya mshahara wangu nije kuishi kwa raha wakati napokea 75% ya mshahara?! kama sielewi hivi
 
Kazi nzuri ya mama,bila shaka wataendelea kulegeza Hadi asilimia 50% ya awali.
 
At least waweke 60%
 
Ni hatua nzuri kuelekea kuboresha maisha ya wastaafu.
Hongera sana kwa hili Raisi wetu Samia Hassan Suluhu.
Wananchi wanataka mambo kama haya.
 
Bado, kwanini isiwe 90%, hizi ni fedha za watu asee
 
Monthly pension itashuka sema waliobeza kikokotoo hawajielewi kuwa kadri unavyochukua Hela ya mkupuo kubwa monthly pension inashuka na Maisha ni monthly pension sio Hela ya mkupuo

Hela ya mkupuo hukata upesi
Huo ndio ukweli, ila ajabu watu wanaopinga ni wale ambao bado wako kazini.
Wastaafu wako kimya maana ndio wanaojua mbivu na mbichi
 
Monthly pension itashuka sema waliobeza kikokotoo hawajielewi kuwa kadri unavyochukua Hela ya mkupuo kubwa monthly pension inashuka na Maisha ni monthly pension sio Hela ya mkupuo

Hela ya mkupuo hukata upesi
Hv mfano ukilipwa 50% kwa mkupuo, hy 50% inayobaki ni unalipwa mpaka itakapoisha au utakapokufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…