Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

Uko sahihi
 
Sa
Monthly pension itashuka sema waliobeza kikokotoo hawajielewi kuwa kadri unavyochukua Hela ya mkupuo kubwa monthly pension inashuka na Maisha ni monthly pension sio Hela ya mkupuo

Hela ya mkupuo hukata upesi
Sasa unataka hiyo Hela ukatumie Mbinguni? Umestaafu una miaka 60, kufikisha 70-80 Bahati,Sasa Hela ibaki serikalini ya Nini? Halafu unamaana nikishastaafu nitashindwa kabusaaa kuishi eti Mshahara mdogo? Wazee wetu ambao hawakuajiliwa mbona wanaishi fresh TU na wanatoboa 70-90 huko? Acheni vitisho bwana
 
Mama tunampenda sana - apongezwe kwa hatua HIYO. Lkn aone umuhimu wa kukiondoa kabisa wafanyakazi walipwe 100 na wakizila zikaisha wajijue wao
 
Binafsi nashukuru hata kwa hili limewatea nafuu wastaafu, ingawa bado uwiano haufai.

Walau tufikie kwa mtu anaye staafu kwa miaka 60 apate 70% matarajia hapa life expectance hivyo amalize vimeo vyake duniani na familia ifurahie utumishi wake.

Kwa wale wanaostaafu kwa hiari walau wapate 55%.
 
Niache kuishi kwa raha wakati napokea 100% ya mshahara wangu nije kuishi kwa raha wakati napokea 75% ya mshahara?! kama sielewi hivi
Hata Mimi hapo aijapaelewa vizuri, Halafu kinachonishangaza ni pale watu hujifanya wanatuonea hurumaa kana kwamba mtumishi hawezi kuishi nje ya Mshahara.Wekeni 50/50 hakuna mtu atalalamika
 
Monthly pension itashuka sema waliobeza kikokotoo hawajielewi kuwa kadri unavyochukua Hela ya mkupuo kubwa monthly pension inashuka na Maisha ni monthly pension sio Hela ya mkupuo

Hela ya mkupuo hukata upesi
Asante kwa SoMo hili
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Kwahiyo Wanasiasa wao ndiyo wanauwezo wa Kutunza pesa Yao ya Pension? Halafu watumishi ndiyo Mambumbu sanaa hayawezi eti?
 
Aahaaaaa

Eti za uadilifu
 
Hilo liko wazi Kila mtu anajua na ndiyo maana hakuna mtu anasema mtu wa Mshahara wa 700,000/- mfano afanane na wa 1,500,000/ au 2,000,000/-Kinachotakiwa Hesabu ya Kikokotoo irekebishwe na Kila mtu apate haki yake na Wala siyo kufanana malipo
 
Mimi nashangaa sana, mtumishi aliweza ku manage Mshahara ila kumanage pension hawezi? Haya si matusi haya?
 
Ndio shida ya kutokuwa na taarifa sahihi halafu mtu anafanya maamuzi Kwa taarifa zisizo sahihi
Pension ya mwezi mtu analipwa maisha yake yote Hadi anafariki hata Aishi miaka 1000 ataendelea kulipwa ni yeye tu kuendelea kuishi
Hivi ni kwa nini tunahangaika na watu waliopo kwenye mfumo rasmi wa ajira ambao ni asilimia ndogo sana ya watanzania?
kama pension fund ndo mpango mzima wa maisha ya uzeeni,ni kwa nini hatufanyi jitihada ya kuwaelimisha wakulima na wafanya biashara nao wajiunge na mifuko hiyo ili nao wafaidi uzeeni?
Mambo kama haya ya kushughulika na wenye cash in hands ndo yanatufanya tuamini tunafanyiwa utapeli mchana kweupe.
 
Hilo liko wazi Kila mtu anajua na ndiyo maana hakuna mtu anasema mtu wa Mshahara wa 700,000/- mfano afanane na wa 1,500,000/ au 2,000,000/-Kinachotakiwa Hesabu ya Kikokotoo irekebishwe na Kila mtu apate haki yake na Wala siyo kufanana malipo
Liko wazi kwako

Niliyemkwoti aliuliza swali kutaka kuelewa

So, this is for him/her not for you
 
Siyo takwa la wastaafu. Ni sawa na kumkata vidole vitano akasema uonevu ukaanza kumkata vinne na kujigamba, umeingiwa na huruma na kuachana na ukatili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…