Sikia wewe Chawa. Kikokotoo kimeondoa monthly pension. Pesa ya mkupuo ndiyo hiyo imegawanywa na kufanya 33% unapewa, 67% ndiyo imefanywa monthly pension kwa Miaka 12. 5. Ile Pension kama Zamani iliyokuwa Watu wanapata 50% mkupuo haipo. I mean ikiwa ulistahili mkupuo 180m. Unapewa 80m, 100 ndiyo unagawiwa monthly kwa Miaka 12.5. ikiisha na bado unaishi ndiyo watakutafutia Pension Sijui toka wapi. Kwa hiyo Mstaafu Mafao yake ya Mkupuo ndiyo yamegawanywa kwa Staili hiyo. Kama vipi W mfano achukue 33% na 67% apewe Mstaafu Mkupuo wake.