Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio bakhmut tu ata hayo majimbo ya crimea yote kama ilivyoanguka Kherson karibuni.Sawa,siku Ukraine wakiikomboa Bakhmut uje unipe mrejesho!
Hizo drones hazikufanikiwa kwani !
Kwani Sasa hivi Urusi anakalia ardhi ya Ukraine size ya nchi gani?Sio bakhmut tu ata hayo majimbo ya crimea yote kama ilivyoanguka Kherson karibuni, Urusi walipoivamia ukraine walidhibiti eneo la ukraine lenye ukubwa wa
wewe ndio calculate hilo eneo ukitoa miji ya Kyiv ambayo ilikuwa ni misururu ya vifaru vya urusi tu vimetanda barabara zote ambapo sasa vimebaki kuwa ni maonyesho watoto wanapiga picha za ku-relux.Kwani Sasa hivi Urusi anakalia ardhi ya Ukraine size ya nchi gani?
Huko kherson Bado Russia anakalia eneo kubwa kuliko lililo chini ya Ukraine!
Hakuna namna Ukraine ataweza shinda hii vita,mnapeana false hopes huku Ukraine ikizidi kubebeshwa mzigo wa madeni utakaochukua Karne kadhaa kulipa!
Suala la assets kuwa frozen ni la muda tu!Linahitaji mchakato wa kisheria Ili frozen assets ziwe siezed,na hiyo ni long process na legal battle!wewe ndio calculate hilo eneo ukitoa miji ya Kyiv ambayo ilikuwa ni misururu ya vifaru vya urusi tu vimetanda barabara zote ambapo sasa vimebaki kuwa ni maonyesho watoto wanapiga picha za ku-relux...
Halafu hizo taarifa za uchumi kugoma umezitoa wapi?wewe ndio calculate hilo eneo ukitoa miji ya Kyiv ambayo ilikuwa ni misururu ya vifaru vya urusi tu vimetanda barabara zote ambapo sasa vimebaki kuwa ni maonyesho watoto wanapiga picha za ku-relux...
Endelea kujipa raha!Unajua hata waliokata tamaa kuna muda wao wanajipa raha!Shida yangu sio impact, ila kujipa raha kwa kipigo cha kutokea mlianza kuparamia Kyev
Endelea kujipa raha!Unajua hata waliokata tamaa Kuna muda wao wanajipa raha!
"Waacheni masikini wanywe pombe wasahau shida zao"!Kesho wakitamka shida ziko palepale!
Jipe raha,jifurahishe utakavyo ila ukijiwasha data na kurudi kwenye uhalisia,msoto uko palepale😀
There is No HONOUR in dying for NATO interests.....Napata raha hadi naumwa, vijana wa Ukraine wanaipigania nchi yao, ardhi yao, milima yao, mito yao kizalendo aki ya nani wataandikwa kwenye vitabu vya historia.....
Mbona raia wake wanahama na kutokomea kusikojulikana kutafuta maisha mpaka bunge lao limetunga sheria kwa raia watakaohama na kuwapa adhabu ya double taxationHalafu hizo taarifa za uchumi kugoma umezitoa wapi?
Russia imeweka record Kwa kulipa deni la taifa msimu huu wa vita kuliko wakati mwingine wowote!
Waache Iran apeleke vitu na Mchina ili washuhudie show ya kibabe ya Wagner PMC na Chechens.Us na dada zake wa Ulaya kila siku wanapeleka silaha Ukraine, halafu wanalia lia na mchina asipeleke silaha Urusi, hawa jamaa ni vichaa sanaaa
Ni kweli wataandikwa kwenye kumbukumbu kutokea mavumbini!Napata raha hadi naumwa, vijana wa Ukraine wanaipigania nchi yao, ardhi yao, milima yao, mito yao kizalendo aki ya nani wataandikwa kwenye vitabu vya historia.....
We unaishi Dunia gani?Hao wakiondoka ni minor compared to the Russia population!Mbona raia wake wanahama na kutokomea kusikojulikana kutafuta maisha mpaka bunge lao limetunga sheria kwa raia watakaohama na kuwapa adhabu ya double taxation
Russia watatoa mafuta in exchange ili wapewe silaha, fine huoni kwamba superpower ameanguka chini ya mwaka ananunua silaha kw mkopo?Suala la assets kuwa frozen ni la muda tu!Linahitaji mchakato wa kisheria Ili frozen assets ziwe siezed,na hiyo ni long process na legal battle!Lakini Usisahau Russia naye kafreeze assets za...
Ni suala la muda tu.Sio bakhmut tu ata hayo majimbo ya crimea yote kama ilivyoanguka Kherson karibuni, Urusi walipoivamia ukraine walidhibiti eneo la ukraine lenye ukubwa wa nchi ya Newzaland hadi Kyiv walikuwa wameizingira kote mjini, kwanini hujiulizi sasa wanarusha makombora yao wakiwa wapi?
Muda utafika ukraine kwanza walikuwa na kazi ya kumtoa adui Kyiv sasa huko vijiji vya chumvi na bakhmut ni kazi ndogo sana, kwanza wacha tupokee mizigo mipya toka US na Ujerumani utasikia karibuni
matajiri wa kirusi zaidi ya 15 elfu wamehama Russia na kuondoa makampuni yao Urusi, wewe unafkiri mtu amezoea kushika Dola na Euro leo umwambie utajiri wako utaendeshwa na Rubu au Yuan za kichina ama India nani ataweza kuishi nchi hiyo.We unaishi Dunia gani?Hao wakiondoka ni minor compared to the Russia population!Halafu waliondoka kwasababu ya misinformation juu ya mobilization..
Russia watatoa mafuta in exchange ili wapewe silaha, fine huoni kwamba superpower...
Mkuu acha kujadili mambo kama uko kwenye vijiwe vya kahawa,umeandika mambo mengi ya uongo na uzushi Kwa kujua au kutokujua!expand...
Wakati unatoa taarifa kama hiyo weka na link!matajiri wa kirusi zaidi ya 15 elfu wamehama russia na kuondoa makampuni yao urusi, wewe unafkiri mtu amezoea kushika Dola na Euro leo umwambie utajiri wako utaendeshwa na Rubu au Yuan za kichina ama India nani ataweza kuishi nchi hiyo.,
Wimbi la raia kuhama ni kubwa mno mpaka wametunga sheria kwenye bunge ni jambo la kusisimua sana,
Wana ogopa sana, vilio vimekuwa vingi mpaka mchina anashangaaWaache Iran apeleke vitu na Mchina ili washuhudie show ya kibabe ya Wagner PMC na Chechens.