Hatimaye kipindi cha theluji kimeisha Ukraine, ndio kete aliyokuwa amebaki nayo Mrusi

Hatimaye kipindi cha theluji kimeisha Ukraine, ndio kete aliyokuwa amebaki nayo Mrusi

Sio bakhmut tu ata hayo majimbo ya crimea yote kama ilivyoanguka Kherson karibuni, Urusi walipoivamia ukraine walidhibiti eneo la ukraine lenye ukubwa wa nchi ya Newzaland hadi Kyiv walikuwa wameizingira kote mjini, kwanini hujiulizi sasa wanarusha makombora yao wakiwa wapi?

Muda utafika ukraine kwanza walikuwa na kazi ya kumtoa adui Kyiv sasa huko vijiji vya chumvi na bakhmut ni kazi ndogo sana, kwanza wacha tupokee mizigo mipya toka US na Ujerumani utasikia karibuni
Kwa hiyo mnangojea mikopo ya silaha?
 
wewe ndio calculate hilo eneo ukitoa miji ya Kyiv ambayo ilikuwa ni misururu ya vifaru vya urusi tu vimetanda barabara zote ambapo sasa vimebaki kuwa ni maonyesho watoto wanapiga picha za ku-relux.

Madeni ya ukraine kwa silaha yasikupe pressure sana US anamuadhibu urusi vizuri sana hela ambazo russia iliwekeza ulaya na Marekani ndio zinazotumia kuisaidia Ukraine baada ya kutaifishwa,

Mbona urusi sasa anakopa drons toka Iran, silaha kutoka China, North Korea au yeye una hakika atasamehewa hayo madeni? Russia kwa siku anatumia Euro 160m ili apigane na uchumi wake umeganda unafkiri atakuwa na hali gani ukiisha mwaka huu?

Russia anatumia eur 160m je Ukraine anatumia euro ngapi? Vipi USA?
 
Warusi wa JF walikuwa na msemo wao maarufu hapa 'Winter is coming' na kututabiria madhira yatakayowapata Ukraine kipindi cha baridi na kwamba hata West raia wengi watakufa kwa baridi.
 
There is No HONOUR in dying for NATO interests.....

This Time tulitegemea Ukraine wawe busy na uchumi wao Wawe wana ENJOY Maisha sasa NATO ametafuta Zelensky ukweli huyu jamaa amesababishia Ukraine vifo ambavyo havikuwa na Ulazima

Halafu pia Wa NA Ukraine hao hao wanakataa kwenda kufia nchi yao, wanawakamatwa kwa nguvu wanawalazimisha kupiga vita vyenye INTEREST YA NATO

HII VITA IKIeNDELEA ITAISHIA PABAYA kuna hatari ya matumizi ya silaha za NUCLEAR ...NATO hawatahusika na majanga ya NUCLEAR WATAYOPATA UKRAINE

DYING FOR NATO????

Walikua busy na uchumi wao hadi supapawa aliyekua tegemeo la waarabu akajaribu kuparamia nchi yao, vijana wazalendo wakajitokeza na kupambana kulinda heshima ya nchi yao.
 
Ni kweli wataandikwa kwenye kumbukumbu kutokea mavumbini!

Nchi inaenda kuwa ya wanawake 90%,10% male!

Endelea kuona Raha!

Hiyo safi, unakufa kifo chenye umuhimu kwa ajili ya vizazi vijavyo sio kama nyie hujilipua kisa mumeaminishwa mabikira 72 kila mmoja.......hehehe napata raha sana.
 
Mkuu acha kujadili mambo kama uko kwenye vijiwe vya kahawa,umeandika mambo mengi ya uongo na uzushi Kwa kujua au kutokujua!

1.Nimetolea mfano options alizonazo Russia juu ya kununua silaha!Wewe unakuja as if Russia kaishiwa silaha na Sasa ananunua silaha Kwa mkopo, hiki ni kitu gani umeandika?

Medvedev alisema,msitegemee kuona Russia akiishiwa silaha!Kama Russia ikiamua kununua silaha basi ni Kwa ajili ya kuhakikisha minimum reserve aliyojipangia inakuwepo!

Fikiria collective west,mpaka stock zao zinakauka na inabidi waongeze production kucover,Bado mnamchukilia poa Russia!

2.Unauliza kuhusu Wagner laki 3 walienda wapi alionza nao,kwani hao Wagner ambao wanawakimbiza bahkmut na kwingineko ni wepi?

3.Mnapenda kuja na kauli za rejareja bila zisizo na ukweli! Ni wapi alisema Ukraine akijiunga EU atashambulia kitovu Cha Ulaya? Niwekee ushahidi.

-Ni wapi alisema maeneo ya Crimea, DPR na LPR yakishambuliwa basi atajibu Kwa nuclear?

Hata hao west wanaoisaidia Ukraine wanajua mstari mwekundu,wenyewe wanajua silaha wanazotoa si zile zinazoweza kusababisha escalation of the war!Maana yake wanajua mipaka Yao!

4.West walipoweka price cap kwenye Oil &gas ya Russia, Putin alisign decree kuzuia uuzwaji wa Oil&gas Kwa nchi zinazounga mkono price cap! Matokeo yake nchi za EU zimeendelea kununua Gas ya Russia Kwa bei ya soko la Dunia!

Acheni propaganda mfu!
Nilikuuliza kuhusu wanajeshi laki 3 wa russia ambao walianza uvamizi ukraine wameenda wapi mpaka sasa yanakuja hayo makundi ya kigaidi ya Wagner Group? ambao wengi wao ni wafungwa waliotoka magereza mbali mbali ya urusi

Siyo wewe tu unayesahau kauli alizotoa Putin na hata huyo Putin mwenyewe aliulizwa vipi sasa unasemaje Finland na Sweden wamejaza form za kujiunga na Nato mchana kweupe unasemaje? akabadilisha majibu akasema ''sisi hatuna shida wacha wajiunge lakini ikiwa US wataeka base yao kwenye nchi zao na sisi tutasogeza vikosi vyetu karibu yao'' wakati kabla alisema atashambulia kitovu cha ulaya., ndio maana US wamejua weakness za putin kiasi kikubwa kwamba ndaro na vitisho ndio jadi yake lakini action hana na sasa wanamtesa kweli kweli mpaka anaazima silaha kutoka Iran. Urusi inaenda kuanguka soon
 
Nilikuuliza kuhusu wanajeshi laki 3 wa russia ambao walianza uvamizi ukraine wameenda wapi mpaka sasa yanakuja hayo makundi ya kigaidi ya Wagner Group? ambao wengi wao ni wafungwa waliotoka magereza mbali mbali ya urusi

Siyo wewe tu unayesahau kauli alizotoa Putin na hata huyo Putin mwenyewe aliulizwa vipi sasa unasemaje Finland na Sweden wamejaza form za kujiunga na Nato mchana kweupe unasemaje? akabadilisha majibu akasema ''sisi hatuna shida wacha wajiunge lakini ikiwa US wataeka base yao kwenye nchi zao na sisi tutasogeza vikosi vyetu karibu yao'' wakati kabla alisema atashambulia kitovu cha ulaya., ndio maana US wamejua weakness za putin kiasi kikubwa kwamba ndaro na vitisho ndio jadi yake lakini action hana na sasa wanamtesa kweli kweli mpaka anaazima silaha kutoka Iran. Urusi inaenda kuanguka soon
Una shida mahali,unaleta maneno matupu bila ushahidi!Niwekee sehemu ambayo Putin alisema atashambulia kitovu Cha Ulaya iwapo Ukraine atajiunga EU,leta link!Niwekee sehemu ambayo Putin amesema atatumia Nuclear iwapo Crimea,DPR,LPR,Kherson zitashambuliwa!Weka link na sio unakuja na maneno matupu!

Unaniuliza kuhusu wanajeshi laki 3 wako wapi?Hilo nani anaweza kujibu?Kama wako mapunzikoni,kama wako wanalinda liberated areas,kama wamefanyiwa rotation,kama wamekufa,kama .......!
Hakuna anayeweza kujibu Hilo zaidi ya Urusi mwenyewe!
 
Una shida mahali,unaleta maneno matupu bila ushahidi!Niwekee sehemu ambayo Putin alisema atashambulia kitovu Cha Ulaya iwapo Ukraine atajiunga EU,leta link!Niwekee sehemu ambayo Putin amesema atatumia Nuclear iwapo Crimea,DPR,LPR,Kherson zitashambuliwa!Weka link na sio unakuja na maneno matupu!

Unaniuliza kuhusu wanajeshi laki 3 wako wapi?Hilo nani anaweza kujibu?Kama wako mapunzikoni,kama wako wanalinda liberated areas,kama wamefanyiwa rotation,kama wamekufa,kama .......!
Hakuna anayeweza kujibu Hilo zaidi ya Urusi mwenyewe!
Yaani wanajeshi laki 3 wameenda mapumzikoni, halafu wakaajiriwa vijana wa miaka 18-50 kwa nguvu wakasainishwa paper na wao wakaenda mapumzikoni, halafu wafungwa akiwemo yule mtanzania kwa sharti la kufutiwa mashtaka na wao wakaenda mapumzikoni, wale majenerali akiwemo yule wa Syria naye kaenda mapumzikoni sasa kuna hao Wagner Group ambao nao ndani ya wiki moja wameenda mapumziko elfu 6000 itakuwa putin anatisha sana kwa kutoa likozo hilo kwa wapiganaji wake., nimesoma humu sasa wanafunzi wa chuo nao wanasajiliwa nao wakapate likizo
 
Yaani wanajeshi laki 3 wameenda mapumzikoni, halafu wakaajiriwa vijana wa miaka 18-50 kwa nguvu wakasainishwa paper na wao wakaenda mapumzikoni, halafu wafungwa akiwemo yule mtanzania kwa sharti la kufutiwa mashtaka na wao wakaenda mapumzikoni, wale majenerali akiwemo yule wa Syria naye kaenda mapumzikoni sasa kuna hao Wagner Group ambao nao ndani ya wiki moja wameenda mapumziko elfu 6000 itakuwa putin anatisha sana kwa kutoa likozo hilo kwa wapiganaji wake.,
Kwenye ushahidi Naona umekimbia,Hilo najua umeelewa somo!
Nilichokwambia Mimi ni kuwa hatuwezi kujua kila askari Yuko wapi!Lakini mobilization Russia haikuwa lazima kama hapo unavyojaribu kusema!Hilo lipo Ukraine na kila Mwanaume haruhusiwi kutoka nje ya nchi na wanasakwa mtaani kupelekwa Frontline!
Wagner wanasikitika kwamba Bakhmut mwanzoni walikuwa wakipambana na askari wazoefubwa Ukraine,ila Kwa Sasa wamebakizwa wazee na watoto!Ndio wamemwambia Zele awarudishe hao watoto na wazee nyumbani!
 
Ukraine na NATO sasahivi wanapigana vita vya msituni (goliler war) dihidi ya urusi.. ofisi na miundombinu yote ya kijeshi imesambaratishwa kabisa...
Ilinibidi nicheke tu
 
Back
Top Bottom