DingiMbishi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2021
- 449
- 647
Sa misimu 3 na 4 inafanana bloanngu,mi nilijua mlichukua labda mara 6 mfululizo manake nyie ni wakongwe,š¤£š¤£Kabla ya hiyo misimu 4, Yanga pia alichukua misimu 3 mfululizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa misimu 3 na 4 inafanana bloanngu,mi nilijua mlichukua labda mara 6 mfululizo manake nyie ni wakongwe,š¤£š¤£Kabla ya hiyo misimu 4, Yanga pia alichukua misimu 3 mfululizo.
Wale wananchi wawili?Yanga ni timu ya wananchi wenye akili
Mpwayungu Village Kapigwa lini Hilo ban!?angekuona Mpwayungu angeshatia mguu naona kapigwa Ban all in all safi kabisa mwalimu kwa kuwafundisha wanetu
Anajua bahati haiji mara ya pili!! Msimu wa bahati umempandisha chati, lazima asepe kabla mambo hayajamdodea!Alishasoma alama za nyakati kuwa kama akianza msimu sambamba na kocha gwiji la kibrazil Roberto oliveira, hataweza kunusa harufu ya ubingwa.
We are unstoppable
sijamuona kumbe yupo banaMpwayungu Village Kapigwa lini Hilo ban!?
GSM hizo pesa hawezi ziachaYou are not serious.
Huyu mzee wa Madrassa ana akili sana, anaondoka na heshima yake.Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga ni kuwa Kocha wa kikosi cha Wanajangwani hao, Nasreddine Nabi amemaliza mkataba wake na ameamua kuondoka kwenda kutafuta maisha mengine.
Yanga inatarajiwa kutangaza muda wowote juu ya kuachana na kocha hiyo ambaye ameipa mafanikio makubwa.
View attachment 2657812
Ndani ya hiyo misimu minne wamepita makocha wangapi wakati inabeba hizo back back ?Na wa misimu 4 ya kubeba ndoo back2back wasemaje bloangu?
Sio bahatiAnajua bahati haiji mara ya pili!! Msimu wa bahati umempandisha chati, lazima asepe kabla mambo hayajamdodea!
SureNi kawaida kwa kocha kuondoka akishafikia malengo/mafanikio aliyojipangia...