Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Mmebaki na mizimu ya akilimali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikwambia kwenye uzi wangu ukaanza kunibishia. English simple kama ile mbona ilijieleza yenyewe tu.Mayele soon naye tutasikia kaenda kutafuta changamoto nyingine.
Inakuwaga hivi hivi kama utani utani lakini ndio anasepa.
Ni kama ule msimu wa Corona, watu walikuwa wanakufa hawasemi kuwa ni Cirona tunaambiwa ni changamoto ya upumuaji.
Alivyoondoka Miquissone hamkushangilia?Simba wajiona wamesha twaa kombe. Naona wameanza kushangilia
Mlimuachia wenyewe sisi haikutuhusuAlivyoondoka Miquissone hamkushangilia?
Nakazia.Ni kawaida kwa kocha kuondoka akishafikia malengo/mafanikio aliyojipangia...
Ukisema kilele means baada ya hapo sio kilele tena.Yaani misimu miwili mfululizo amewapelekea moto wapinzani wake! Halafu machale yamcheze msimu ambao kikosi kiko katika kilele chake cha mafanikio!!
Hakuchukua kama kocha usifanye hatujui. Alikuwa ni kiongozi mwandamizi lakini sio kocha MkuuSio bahati
Uwezo wake
Mtu aliechukua caf cc 2012 unasema bahati
Wakati wewe makocha wako wote waliokupitia hamna hata mmoja aliewahi kuchukua Hilo kombe??
Simba wamekuwa watu wakuishi kwa matumaini siku hizi!!Bora amekimbia maana msimu ujao simba analeta mpira wa kwenye kitabu. Man city nae akitaka aje
Cha ajabu Nini?katika soka hayo ya kawaida! Hata Benzena kaondoka Real Madrid!! Au kina Inonga na Chama watakaa Bunju milele?Mayele soon naye tutasikia kaenda kutafuta changamoto nyingine.
Inakuwaga hivi hivi kama utani utani lakini ndio anasepa.
Ni kama ule msimu wa Corona, watu walikuwa wanakufa hawasemi kuwa ni Cirona tunaambiwa ni changamoto ya upumuaji.
Poa tu. Tunamshukuru Kwa yote. Kila la kheri kocha Nabi...Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga ni kuwa Kocha wa kikosi cha Wanajangwani hao, Nasreddine Nabi amemaliza mkataba wake na ameamua kuondoka kwenda kutafuta maisha mengine.
Yanga inatarajiwa kutangaza muda wowote juu ya kuachana na kocha hiyo ambaye ameipa mafanikio makubwa.
View attachment 2657812