To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Napata hasira nashindwa kuongea mchoz unashuka wenyewe! Wallah!!Unalia ? Really??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napata hasira nashindwa kuongea mchoz unashuka wenyewe! Wallah!!Unalia ? Really??
Dah, kweli una witoNapata hasira nashindwa kuongea mchoz unashuka wenyewe! Wallah!!
Yeah,nipo ivo...nikishika SoMo sitaki niangushwe mkuuDah, kweli una wito
Hongera zako, hakika utabarikiwa kwa moyo huoYeah,nipo ivo...nikishika SoMo sitaki niangushwe mkuu
Amina mkuuHongera zako, hakika utabarikiwa kwa moyo huo
Acha ujinga ulitaka akae milele?Mkataa pema pabaya pabaya pabamuita.
Popote atakapoenda Nabi hatamaliza miezi sita hajatupiwa virago.
Uto, najua mmefurahi mbaya wenu Nabi kuondoka, lakini nawaambieni 2023/24 mtaambulia patupu tena. Maana GSM anamshusha p. gardiolla (Tulia: siyo gardiolla mnene) kuchukua nafasi ya nabi.Acha ujinga ulitaka akae milele?
Kama hapa Yanga ilipo ndiyo kilele chao ina maana haiwezi kupanda zaidi ya hapa na kinachofuata ni kushuka chini.Yaani misimu miwili mfululizo amewapelekea moto wapinzani wake!
Halafu machale yamcheze msimu ambao kikosi kiko katika kilele chake cha mafanikio!!
"My personal future without Yanga is very tough,"Kwenye uzi wako wewe mwenyewe hukuwa na uhakika, ulitumia kitendo cha yeye kuwaaga mashabiki kuwa ndio uthibitisho.
Kuwaaga mashabiki kunaweza kuwa na tafsiri nyingi
Labda anawaaga kwasababu ya kumaliza msimu.
Labda anawaaga kwasababu Mashabiki wa mkoani kwasababu yeye anarudi dar.
So habari yako haikuwa specific na ndio maana nikauliza. "Kwa hiyo kuaga ndio kuthibitisha kuwa anaondoka"
Kwani mi ndio niliyesema ameaga au wewe?"My personal future without Yanga is very tough,"
Huko ndio kuaga?
Malizia sentesi. Wananchi wenye akili pungufu kasoro wawili tu. Nao Ni?Yanga ni timu ya wananchi wenye akili
Nabi amemkimbia Robertinho.Alishasoma alama za nyakati kuwa kama akianza msimu sambamba na kocha gwiji la kibrazil Roberto oliveira, hataweza kunusa harufu ya ubingwa.
We are unstoppable
Amehama nchi