Hatimaye Kocha Nabi anaondoka Yanga, amemaliza mkataba na kupata dili kwingine

Hatimaye Kocha Nabi anaondoka Yanga, amemaliza mkataba na kupata dili kwingine

Simba ikiwa ya moto kabisa, ile simba ya pita Brian, walipowauza tu Chama na Miquissone ikafa kibudu!!!!!!!

Ngona tuone Yanga
 
Hakika Nabi Ni kocha aliyeacha Historia Kubwa Sana katika soka la Nchi yetu hakika tutamkunbuka kwa mengi na zaidi alipoifikisha Yanga Kimataifa mwaka.
The real mean of Professor.View attachment 2657883

Mérci beaucoup Nasreddine Mohamed Nabi. Umetuburudisha, umetupatia Yanga makombe, umetufikisha nusu fainali CAF CC ambako tuliwakuwa hatujawahi kufika. Tunakutakia heri ya mafanikio huko uendako
 
Nilikwambia kwenye uzi wangu ukaanza kunibishia. English simple kama ile mbona ilijieleza yenyewe tu.
Kwenye uzi wako wewe mwenyewe hukuwa na uhakika, ulitumia kitendo cha yeye kuwaaga mashabiki kuwa ndio uthibitisho.

Kuwaaga mashabiki kunaweza kuwa na tafsiri nyingi

Labda anawaaga kwasababu ya kumaliza msimu.

Labda anawaaga kwasababu Mashabiki wa mkoani kwasababu yeye anarudi dar.

So habari yako haikuwa specific na ndio maana nikauliza. "Kwa hiyo kuaga ndio kuthibitisha kuwa anaondoka"
 
Wewe ndo uende ukaangalie rekodi uone kama nabi hajawai kuchukua
Kabla ya kuingia kwenye arguments jitahidi uwe na taarifa, hili halihitaji ubishi wowote. Nabi hajawahi kuchukua kombe la CAFCC.

Mnaweza kuonyesha uzuri wa Nabi bila kulazimisha watu waamini uongo.
 
Kabla ya kuingia kwenye arguments jitahidi uwe na taarifa, hili halihitaji ubishi wowote. Nabi hajawahi kuchukua kombe la CAFCC.

Mnaweza kuonyesha uzuri wa Nabi bila kulazimisha watu waamini uongo.
AC LEOPARD alichukua kombe la CAF 2012 unajua kocha alikua nani ???
 
Ktk makocha wote waliowahi kufundisha Yanga, Nabi pekee ndo kaondoka huku mashabiki wakihuzunika, amewavusha yanga pakubwaa mnoo.

Kila la kheri kwake.

Ni kwa mashabiki wa kizazi hiki...

Lakini hapo nyuma kulikuwa na makocha wengine ma-legendary Yanga kama mromania profesa Victor Stanculescu, mrundi bonge la kocha Nzoisaba Tauzany (marehemu), Tambwe Leah, Hans Van Pluijm (huyu wa Singida sasa)
 
Zile picha kuwa amesaini kandarasi mpya vipi tena.
Poleni, mjiandae na vilio huko utopoloni. Nabi mjanja sana ameogopa kivuli chake.
 
Ni kwa mashabiki wa kizazi hiki...

Lakini hapo nyuma kulikuwa na makocha wengine ma-legendary Yanga kama mromania profesa Victor Stanculescu, mrundi bonge la kocha Nzoisaba Tauzany (marehemu), Tambwe Leah, Hans Van Pluijm (huyu wa Singida sasa)
Basi sawaah
 
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga ni kuwa Kocha wa kikosi cha Wanajangwani hao, Nasreddine Nabi amemaliza mkataba wake na ameamua kuondoka kwenda kutafuta maisha mengine.

Yanga inatarajiwa kutangaza muda wowote juu ya kuachana na kocha hiyo ambaye ameipa mafanikio makubwa.
View attachment 2657812

UPDATES...
View attachment 2657948
Mkataa pema pabaya panamuita.
Popote atakapoenda Nabi hatamaliza miezi sita hajatupiwa virago.
 
Analiaga huyu Yanga ikifungwa.....same tu me wanafunzi wangu wakishindwa kuperform vyema hesabu za Kwa paper naanza kulia darasani.

Wanafunzi wakiona nimelia wanajua hapa tumepona fimbo...paper linalokuja wananipigia hiyo math balaa.

Nami siachi kuwaambia tuimbe wimbo wetu wa MUNGU ASANTE! Wanaimbajeeee🤸🤸🤸🤸
Unalia ? Really??
 
Back
Top Bottom