Unaingiza nini kwa huo utopolo bwana Don,ni afadhali uimbe nyimbo za kisukuma kama kina Bahati Budagara;halafu unaishije mjini mkubwa bila check namba ama ndio unaendana na lile andiko la mwanadamu hataishi kwa mshahara peke yake bali kwa kila senti idondokayo mbele yakeKijinga Tena?
HahahahahahUnachokifanya sasa hivi ndicho kitakacho kuja kuamua kama uzeeni mwako uje kua mcheza Golf au mcheza Drafti.
Subiri Mambo yanakuja.Unaingiza nini kwa huo utopolo bwana Don,ni afadhali uimbe nyimbo za kisukuma kama kina Bahati Budagara;halafu unaishije mjini mkubwa bila check namba ama ndio unaendana na lile andiko la mwanadamu hataishi kwa mshahara peke yake bali kwa kila senti idondokayo mbele yake
Nipo Mkuu.Don hiki ndo kibarua chako kipya baada ya kufukuzwa ualimu, ila unapotea sana jukwaani......
Wewe kwenye huo wimbo wako umebuni nini??Muziki Lazima uwe mbunifu sio kuiga iga.
Lafudhi ya kipekee Kama unique tone.Wewe kwenye huo wimbo wako umebuni nini??
Unique tone ila haivutii. Yaani haina mvutoLafudhi ya kipekee Kama unique tone.
Hakika Don Nalimison anatuheshimisha sana watanzania kwenye sanaa ya muziki.Artist😀J Don
Song:Let me hug you
Director:??????
Don naomba niwe videographer wako basi[emoji16]..
Wakuu Stephen Chelu na funzadume njooni muiangalie Ngoma mpya tuipeleke trend u tube..ina mavideo Vixen wa America km wote!!!
Tatizo vi TV vya bongo havitaki kunipa promoHakika Don Nalimison anatuheshimisha sana watanzania kwenye sanaa ya muziki.
Pure talent.
$50,000Hongera sana Don.
Video Vixens expensive sana..
Imekugharimu Dollar ngapi kuikamilisha hii project?
Ofcoursekimbiza kimbiza Don............... lazima wakae
HahahahhaahJamani tumchangieni nauli mwenzetu aende Mirembe.. Kwisha habari yako
Nimesajili katika idara ya Kimataifa(UK). ISRC"INTERNATIONAL STANDARD RECORDING CODE" kwahiyo.Basata na Cosota no need.
Ngoma ijayo umchukue Mwl Evelyn Salt awe video queenOfcoursee w
Hapana shida.Ngoma ijayo umchukue Mwl Evelyn Salt awe video queen