Hatimaye kwa Mkapa kumejaa, naliona vibe la mashabiki wa wydad Casablanca na Rajacasablanca ndani ya Mkapa stadium

Hatimaye kwa Mkapa kumejaa, naliona vibe la mashabiki wa wydad Casablanca na Rajacasablanca ndani ya Mkapa stadium

"Uwanja wa Benjamin Mkapa unauwezo wa kubeba idadi ya watu 60,000 kwa wakati mmoja kwa mantiki hiyo Young Africans wameuza tiketi elfu sitini kwaajili ya mchezo huo"

Ina maana mashabiki wa wapinzani wa Yanga,wao hawakupewa hata nafasi ya tiketi moja? Nauliza kwa mujibu wa hiyo paragraph hapo juu.
Kwani wao wamekuja na mashabiki??
 
nalikumbuka goli la Bolizozo wa Stella Abidjan dhidi ya Simba 1993 uwanja wa Taifa mbele ya Mzee Ally Hassan Mwinyi

nasi uzalendo ukitushinda tusionekane wasaliti
 
Duuh sijui upo dunia ya ngapi
nilisikia kwenye vyombo cha habari serikali imetoa ndege kupeleka mashabiki kwa ajili ya final nikajua wanacheza nje ya TZ, mimi siomfuatiliaji sana wa Mpira ila nimekua na furaha yanga kutuwakilisha Vizuri Tanzania nimeuliza tu baada ya kusikia habari za kwa mkapa tena fainali kesho
 
nilisikia kwenye vyombo cha habari serikali imetoa ndege kupeleka mashabiki kwa ajili ya final nikajua wanacheza nje ya TZ, mimi siomfuatiliaji sana wa Mpira ila nimekua na furaha yanga kutuwakilisha Vizuri Tanzania nimeuliza tu baada ya kusikia habari za kwa mkapa tena fainali kesho
Mashabiki wa Simba bwana
 
Back
Top Bottom