National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Thimbaaaa timu kubwaaa, mwaka huu mmechukua vikombe vingapi π πKama mnasuburi ndooo ya CAF poleni labda mpate kisado...
Haijalishi kwani ni ajabu timu kubwa kushindwa kuchukua kombe??.najua ww ni mdau wa mpira hiyo sio ajabu hata kidogo..Thimbaaaa timu kubwaaa, mwaka huu mmechukua vikombe vingapi π π
Mwakani zamu yenu mtaninπππ Nyie timu kubwaa sanaaaa..Haijalishi kwani ni ajabu timu kubwa kushindwa kuchukua kombe??.najua ww ni mdau wa mpira hiyo sio ajabu hata kidogo..
Kwani wao wamekuja na mashabiki??"Uwanja wa Benjamin Mkapa unauwezo wa kubeba idadi ya watu 60,000 kwa wakati mmoja kwa mantiki hiyo Young Africans wameuza tiketi elfu sitini kwaajili ya mchezo huo"
Ina maana mashabiki wa wapinzani wa Yanga,wao hawakupewa hata nafasi ya tiketi moja? Nauliza kwa mujibu wa hiyo paragraph hapo juu.
Haya bhana imenishngaza kidogohahaha jina tu, kama ID nyingine zisizo na maana
Kwa hiyo wewe ulitakaje ??Nguvu nyingi zana zimetumika, inajulikana bila hivyo uwanja ungepwaya
Nenda mkuu utazikuta pale pale mlangoni tu bila noma yoyoteSijakata tiketi ila kesho naenda na napata tiketi.
Ushindwe na ulegee kabisaaaaYanga akifungwa ntafurahi kinoma
Hilo ndio tatizo hakuna amsha kabisa bila tukio maalumu kufanyika.Shida mashabiki wa bongo ni mpk goal Lifungwe ndo utaona wanashangilia
Duuh sijui upo dunia ya ngapiKumbe wanachezea Fainali kwa Mkapa? sasa mama Samia alitoa ndege kupeleka mashabiki wapi? Sijaelewa
Ushindwe na ulegee kabisaaaa
nilisikia kwenye vyombo cha habari serikali imetoa ndege kupeleka mashabiki kwa ajili ya final nikajua wanacheza nje ya TZ, mimi siomfuatiliaji sana wa Mpira ila nimekua na furaha yanga kutuwakilisha Vizuri Tanzania nimeuliza tu baada ya kusikia habari za kwa mkapa tena fainali keshoDuuh sijui upo dunia ya ngapi
Weka ushahidi hapanalikumbuka goli la Bolizozo wa Stella Abidjan dhidi ya Simba 1993 uwanja wa Taifa mbele ya Mzee Ally Hassan Mwinyi
nasi uzalendo ukitushinda tusionekane wasaliti
Mbona umeongea kinyonge sanaKila LA kherii kwa wahusikaa.
Mashabiki wa Simba bwananilisikia kwenye vyombo cha habari serikali imetoa ndege kupeleka mashabiki kwa ajili ya final nikajua wanacheza nje ya TZ, mimi siomfuatiliaji sana wa Mpira ila nimekua na furaha yanga kutuwakilisha Vizuri Tanzania nimeuliza tu baada ya kusikia habari za kwa mkapa tena fainali kesho
Umesahau mkuu, alikuwa kibu dUlishachezwa siku ile kwani umesahau kuwa tulitoka mbili moja Baada ya prince dube kufunga mjadala.