Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamezoa kuahirisha kufikiri, (suspending individual reasoning), siku hizi mnasema kujizima data, zamani tulisema kujitoa ufahamuSio waende hapo karibu Jangwani ili wasitumie gharama kubwa. TP Mazembe wameonesha njia wengine wafuate. Mfichaficha maradhi kifo humfichua.
Chawa eti ndiye wa kukuvunjia barafu, (breaking the ice) ,kukufungulia njia ama kukusafishia njia duu hapo kazima ufeliNaunga mkono hoja shida ya Simba ni viongozi. Ukiona kwenye kwenye taasisi yoyote iwe kwenye siasa, makazini, kanisani, msikitini na sasa kwenye mpira kion gozi anategemea chawa ili aendelee kuongoza badala ya kutimiza anayotakiwa kutimiza basi jua hapo hamna kiongozi na ataondoka kwa aibu kubwa.. Ukitegemea chawa ili uendelee kuongoza uongozi wako ni wa muda mfupi tu lakini ukitizima yanayohitjika kutimizwa katu kiongozi wala hatumii nguvu nyingi kukubalika na atao0ngoza hiyo taasisi kwa muda mrefu na hata ikifika ataaondoka kwa heshima kubwa.
Kwani mbumbumbu maana ake nini?
Kama wanaona aibu kwenda jangwani waende wakajifunze Mazembe desa ni lile lileSio waende hapo karibu Jangwani ili wasitumie gharama kubwa. TP Mazembe wameonesha njia wengine wafuate. Mfichaficha maradhi kifo humfichua.
unadhani bila utetezi huo wangesema nini?Leo Simba Wana tukio (event) pale Dodoma mgeni rasmi akiwa Naibu Spika Zungu.
Kinachonifanya niseme chanzo cha matatizo ya Simba ni Viongozi ni pale Mjumbe mmoja wa Bodi aliyepewa nafasi WA kuongea Kwa niaba ya Bodi na kumkaribisha mgeni rasmi, anapomwambia mgeni rasmi kwamba matokeo mabaya ya Simba si kama yanavyosemwa na mashabiki kuwa Wachezaji waluosajiliwa na Simba hawana viwango vizuri Bali ni uendeshaji mbaya wa ligi na amewataka eti waahiriki wengine wa ligi waache figisu ili kuweka fair competition.
Hivi kweli uongozi wa Simba unataka wanachama na Mashabiki wa Simba watembee kifuq mbele kwamba timu ni nzuri Ila imefanyiwa figisu na Waamuzi, Bodi ya Ligi au TFF Kwa ushawishi wa timu Fulani?
Huku ni kukwepa wajibu na kutafuta Mbuzi wa kafara ili kumwangushia jumba bovu.
Nimshukuru mgeni rasmi hajamung'unya maneno, kasema Wazi 'Wanasimba wamekaairika na bado Wana hasira na matokeo mabovu ya timu, Bodi ihakikishe mashabiki wanapata furaha.
Bodi acheni janja janja.
Hahahahaha huyu naye alitisha sana
Ni kweliMashabiki ndo wanawaendekeza viongozi wabovu.