Hatimaye leo Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members.

Hatimaye leo Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members.

Sio namkazia bali namuweka sawa

Kwa kipindi kirefu amekuwa akijiona yeye ndo yeye humu JF mpaka baadhi ya watu walikuwa wanahisi huenda na yeye ni moderator halafu kuna uzi miaka ya nyuma ulianzishwa na member mmoja anaitwa Wambee alikuwa analalamika mbona jamaa hapewi ban hata akifanya kosa
,sasa moderator wameonesha kuwa hawampendelei mtu yeyote humu ukizingua unapewa adhabu yako kulingana na kosa ulilolifanya

Huyu ngabu mpaka akafutwa kwenye hiyo list na kupewa ban juu inaonekana moja kwa moja alifanya kosa kubwa sana lililopelekea mods kumpa adhabu hiyo
Hamna wala sio kosa kubwa, kuna Uzi mmoja unakwenda kwa jina la the greatest intelligent Jf unamuhusu the bold, kupitia ule Uzi watu kibao wamekula ban mule
 
Hamna wala sio kosa kubwa, kuna Uzi mmoja unakwenda kwa jina la the greatest intelligent Jf unamuhusu the bold, kupitia ule Uzi watu kibao wamekula ban mule
Alifanyaje kupitia huo uzi?
 
Anatumia cheti feki, kwa kosa la kughushi wamemtoa, pia kutokana na hali ngumu ya kiuchumi inayomkabili mbeba mabox huyo ameahindwa kuchngia chochote jf kwa muda mrefu. Ni mtaazamo wangu tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom