babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Tatizo sio viongozi madikteta bali ni kuwa na wapinzani uchwara. Mawakala wa mabeberu. Kila jambo wao ni kama watoto wanaodeka. Lazima wakimbilie kwa mabwana zao kujilizaNdio madhara ya kuongozwa na dikteta! Akiondoka anaacha chuki na visasi mpaka nchi haikaliki.
Ulikuwa hujazaliwa ghadafi alipambaniwa mwanzo mwisho!Hadi wanajeshi walimgeuka wakaungana na nguvu ya umma! Hao pia utasema ni wahuni wa Benghazi.
Huyu jamaa namchukiaAchana nae huyo. Imani yake ni kila walifanyalo au kulitaka wamagharibi ni sahihi na lazima kwa nchi nyingine kufuata.
Kwanza hiyo wanyoiita demokrasia ndio njia wanayoirumia kugombanisha mataifa mengine. Hakuna uchaguzi utakaofanyika ila watadai haukuwa huru na haki
Gbabo yupo jela!?Sasa kama umempindua mfalme kwa lugha kuleta utawala wa kidemocrasi , na ukaishia kurudi kwenye ufalme ule ule watu wakufanyeJe ?!.
Viongozi wa ki Africa si wazuri. Hebu angalia Ivory coast Gbabo alipoona mpinzani wa anashinda akabadilika. Oh sijui nchi siwezi kuiacha bila mikono salama !!! Leo ivory coast ipo naye yuko jela. The same na Yahya Jameh anaona mpinzani wake anashinda akabadilika. Je Zanzibar .
Africa tunaleta shida wenyewe
Kwao wanamwaga mboga? Hakuna faida ,bora kuwa walivyokuwa mwanzo. Nawalaumu wazungu tu, halafu nalaumu uwezo wa kupambanua mambo tulionao waafrika kusoma ulaya wala kujuana na mzungu si tija, tuwasikilise lkn tuamue kivyetuInauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.
Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Muslim Brotherhood hawajawahi kuwa kundi salama. Nchi yoyote ikiwazuia naiunga mkono. Na hao extremists kuuwawa ndo lilikuwa suruhisho, kama hutaki kwani huwaoni kina Khalifa Haftar?Factbox: Gaddafi rule marked by abuses ...
1970s - ARRESTS, TELEVISED HANGINGS
Rights groups and Gaddafi’s foes say that throughout the 1970s police and security forces arrested hundreds of Libyans who opposed, or who the authorities feared could oppose, his rule.
Student demonstrations were put down violently. Political opponents were arrested and imprisoned, or simply disappeared.
Police and security forces rounded up academics, lawyers, students, journalists, Trotskyists, communists, members of the Muslim Brotherhood and others considered “enemies of the revolution,” Human Rights Watch says. Gaddafi warned anyone who tried to organize politically they would face repression.
“I could at any moment send them to the People’s Court ... and the People’s Court will issue a sentence of death based on this law, because execution is the fate of anyone who forms a political party,” Gaddafi said in a speech on November 9, 1974.
A number of televised public hangings and mutilations of political opponents followed, rights groups say.
In 1976 Gaddafi authorized the execution of 22 officers who had participated in an attempted coup the previous year, in addition to the execution of several civilians, rights activist Mohamed Eljahmi has written.
1980s: DETENTION, DISAPPEARANCES
In 1980 authorities introduced a policy of extrajudicial executions of political opponents abroad, termed “stray dogs.”
According to a 2009 article in Forbes magazine by rights activist Eljahmi, Gaddafi’s then deputy Abdel Salam Jalloud issued a public justification in 1980 for the assassination of dissidents abroad, telling Italian media:
“Many people who fled abroad took with them goods belonging to the Libyan people ... Now they are putting their illicit gains at the disposal of the opposition led by (then Egyptian leader Anwar) Sadat, world imperialism, and Israel.”
A failed coup attempt in May 1984 apparently mounted by exiles with internal support led to the imprisonment of thousands of people. An unknown number of people were executed.
In 1988 there was a period which appeared to herald important human rights reforms. Authorities freed hundreds of political prisoners in a wide-ranging amnesty.
Sasa kwani si wanaishi kama panya kwa sasa. Unadhani alikosea kuwaita hivyo? Panya ndiye mnyama anayekimbia kwenye usafi akaingia kwenye takataka na mabaki. Mende anaishi kwenye uchafu, ukimpa usafi anateseka. Nao waliteseka sana na maisha yao safi, wakaamua wamechoka kuishi kwenye maghorofa na huduma bora za kijamii. Wakaamua kulipua majengo yote ili waishi kwenye magofu na ukosefu wa huduma za afya. Wakaona kuongozwa na mtu mmoja sio sawa, wakamuondoa na kuweka serikali maandazi ambazo hazina complete control. Wala hawakuona jeshi lao linafaa, wakaunda vikundi kibao na sasa bado wanapigana na hawajui wanataka nini. Hao si ni kama panya tu.Ni Kweli lakini mtu kama yeye hakutegemea kukamatwa kama panya kwenye mtaro na vijana aliowaita panya na mende hapo mwanzoni wakati maandamano yameanza!
Hivi kuwepo madarakan kwa kiongozi lakini maisha ni safi hiyo si ndio democracy au democracy ni kuachiana vipindi vya uongozi lakini mazingira kama wanayo ishi Libya ya sasaInauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.
Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Sasa hata wangefanikiwa kumtoa Gadaffi pasina machafuko unadhani kipi cha ajabu ningekuwepo? vitu vyengine havina maana sidhani kama waliona ni bora kupitia wanachopiti sasa kuliko kutawaliwa na mtu mmoja?Off course gaddafi alikua anafaidi sana na ndio maana hakutaka kuachia madaraka mpaka alipofurushwa kwa nguvu na wananchi wake.
Wewe unaona Hilo pekee, je hao wenye uchu na madaraka Wao sio sababu?Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.
Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.
Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Damu ya Gaddafi inawalilia
Mimi naelewa sana labda useme hutaki kunielewa ama unajitia hunielewiKwa maoni yako ungependa Africa ifuate mfumo upi hasa ?! Naona hueleweki.
Kama umeishi miaka ya nyuma kidogo utajua viongozi wengi wa Africa wakiopigania uhuru waliishia kuwaua raia wao. Hawavumilii kukosolewa hata kupishana mawazo tu. Wengi wao waliishia kuwa ma dictator na ma fisadi. Na ndiyo maana dunia iliona afadhali kuwa na mfumo wa kupokezana madaraka . Hili nalo utekelezaji wake ni mgumu kisa unafki wa wengine kujiona bora kuliko kada nyingine.
Mngepaza hzi sauti nakwayule BIBI wa UK mungekua munaeleweka sana ila mmekalia UNAFIQ tu[emoji12][emoji14][emoji12]wakujifunza ni viongozi wa africa, huwezi kukaa madarakan muda mrefu eti kwa sababu unawapa kila kitu.
Kwani Gadafi alishindwa nini kuruhusu mfumo wa kidemokrasia?Democracy sio kwa kila taifa. Kuna mataifa km hayo ya Kiarabu yaachwe tu na tawala zao!
wote hawakusoma alama za nyakati na kutokufikirisha bongo zao juu ya madhara wanachokifanya.Hivi hapo wa kulaumiwa ni nani? ni Gadafi kung'ang'ania madaraka au hao waliyokinukisha kwa wao nao pia kutaka madaraka?