Hatimaye Libya yawa shamba la Bibi, officially

Hatimaye Libya yawa shamba la Bibi, officially

Ndio madhara ya kuongozwa na dikteta! Akiondoka anaacha chuki na visasi mpaka nchi haikaliki.
Tatizo sio viongozi madikteta bali ni kuwa na wapinzani uchwara. Mawakala wa mabeberu. Kila jambo wao ni kama watoto wanaodeka. Lazima wakimbilie kwa mabwana zao kujiliza
 
Achana nae huyo. Imani yake ni kila walifanyalo au kulitaka wamagharibi ni sahihi na lazima kwa nchi nyingine kufuata.
Kwanza hiyo wanyoiita demokrasia ndio njia wanayoirumia kugombanisha mataifa mengine. Hakuna uchaguzi utakaofanyika ila watadai haukuwa huru na haki
Huyu jamaa namchukia
 
Sasa kama umempindua mfalme kwa lugha kuleta utawala wa kidemocrasi , na ukaishia kurudi kwenye ufalme ule ule watu wakufanyeJe ?!.

Viongozi wa ki Africa si wazuri. Hebu angalia Ivory coast Gbabo alipoona mpinzani wa anashinda akabadilika. Oh sijui nchi siwezi kuiacha bila mikono salama !!! Leo ivory coast ipo naye yuko jela. The same na Yahya Jameh anaona mpinzani wake anashinda akabadilika. Je Zanzibar .

Africa tunaleta shida wenyewe
Gbabo yupo jela!?
Jela ya wapi?
 
Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.

Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Kwao wanamwaga mboga? Hakuna faida ,bora kuwa walivyokuwa mwanzo. Nawalaumu wazungu tu, halafu nalaumu uwezo wa kupambanua mambo tulionao waafrika kusoma ulaya wala kujuana na mzungu si tija, tuwasikilise lkn tuamue kivyetu
 
Factbox: Gaddafi rule marked by abuses ...

1970s - ARRESTS, TELEVISED HANGINGS

Rights groups and Gaddafi’s foes say that throughout the 1970s police and security forces arrested hundreds of Libyans who opposed, or who the authorities feared could oppose, his rule.

Student demonstrations were put down violently. Political opponents were arrested and imprisoned, or simply disappeared.

Police and security forces rounded up academics, lawyers, students, journalists, Trotskyists, communists, members of the Muslim Brotherhood and others considered “enemies of the revolution,” Human Rights Watch says. Gaddafi warned anyone who tried to organize politically they would face repression.

“I could at any moment send them to the People’s Court ... and the People’s Court will issue a sentence of death based on this law, because execution is the fate of anyone who forms a political party,” Gaddafi said in a speech on November 9, 1974.

A number of televised public hangings and mutilations of political opponents followed, rights groups say.

In 1976 Gaddafi authorized the execution of 22 officers who had participated in an attempted coup the previous year, in addition to the execution of several civilians, rights activist Mohamed Eljahmi has written.

1980s: DETENTION, DISAPPEARANCES

In 1980 authorities introduced a policy of extrajudicial executions of political opponents abroad, termed “stray dogs.”

According to a 2009 article in Forbes magazine by rights activist Eljahmi, Gaddafi’s then deputy Abdel Salam Jalloud issued a public justification in 1980 for the assassination of dissidents abroad, telling Italian media:

“Many people who fled abroad took with them goods belonging to the Libyan people ... Now they are putting their illicit gains at the disposal of the opposition led by (then Egyptian leader Anwar) Sadat, world imperialism, and Israel.”

A failed coup attempt in May 1984 apparently mounted by exiles with internal support led to the imprisonment of thousands of people. An unknown number of people were executed.

In 1988 there was a period which appeared to herald important human rights reforms. Authorities freed hundreds of political prisoners in a wide-ranging amnesty.
Muslim Brotherhood hawajawahi kuwa kundi salama. Nchi yoyote ikiwazuia naiunga mkono. Na hao extremists kuuwawa ndo lilikuwa suruhisho, kama hutaki kwani huwaoni kina Khalifa Haftar?
Walilalamika kuwa Gaddafi amekaa sana madarakani, wakamuua. Leo hii kuna serikali ya GNA bado wanapigana nayo. Sasa watu kama hawa unaniambia nisiwaue? Hata mimi nikiwa rais kuna wapuuzi wanatakiwa kutangulia. Hata hizo nchi zako za Democracy zinafanya hivyo sema mahaba tu yanawasumbua. Nikuulize, kwanini US walimuua Martin Luther Jr.?
 
Ni Kweli lakini mtu kama yeye hakutegemea kukamatwa kama panya kwenye mtaro na vijana aliowaita panya na mende hapo mwanzoni wakati maandamano yameanza!
Sasa kwani si wanaishi kama panya kwa sasa. Unadhani alikosea kuwaita hivyo? Panya ndiye mnyama anayekimbia kwenye usafi akaingia kwenye takataka na mabaki. Mende anaishi kwenye uchafu, ukimpa usafi anateseka. Nao waliteseka sana na maisha yao safi, wakaamua wamechoka kuishi kwenye maghorofa na huduma bora za kijamii. Wakaamua kulipua majengo yote ili waishi kwenye magofu na ukosefu wa huduma za afya. Wakaona kuongozwa na mtu mmoja sio sawa, wakamuondoa na kuweka serikali maandazi ambazo hazina complete control. Wala hawakuona jeshi lao linafaa, wakaunda vikundi kibao na sasa bado wanapigana na hawajui wanataka nini. Hao si ni kama panya tu.
 
Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.

Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Hivi kuwepo madarakan kwa kiongozi lakini maisha ni safi hiyo si ndio democracy au democracy ni kuachiana vipindi vya uongozi lakini mazingira kama wanayo ishi Libya ya sasa
 
Off course gaddafi alikua anafaidi sana na ndio maana hakutaka kuachia madaraka mpaka alipofurushwa kwa nguvu na wananchi wake.
Sasa hata wangefanikiwa kumtoa Gadaffi pasina machafuko unadhani kipi cha ajabu ningekuwepo? vitu vyengine havina maana sidhani kama waliona ni bora kupitia wanachopiti sasa kuliko kutawaliwa na mtu mmoja?
 
Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.

Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
Wewe unaona Hilo pekee, je hao wenye uchu na madaraka Wao sio sababu?

Kwani Gadafi ndio Raisi wa Kwanza huko Libya
 
Libya ilishawahi kuwa NAMBA MOJA DUNIANI KIUCHUMI SABABU YA MUHAMMAR GADDAFI.
Ila ndo hivyo tena walishikiwa masikio na wamagharibi na wamashariki wakamuona BABU YAO HAFAI
 
Shida sio KUNG'ANG'ANIA MADARAKA.
mbona uingereza hyo demokrasia hamna?.
Uingereza wanaongozwa na malikia.
Kwanini wamarekani na wazungu waone kuwa gaddafi hafai?
Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.

Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.
 
Kwa maoni yako ungependa Africa ifuate mfumo upi hasa ?! Naona hueleweki.

Kama umeishi miaka ya nyuma kidogo utajua viongozi wengi wa Africa wakiopigania uhuru waliishia kuwaua raia wao. Hawavumilii kukosolewa hata kupishana mawazo tu. Wengi wao waliishia kuwa ma dictator na ma fisadi. Na ndiyo maana dunia iliona afadhali kuwa na mfumo wa kupokezana madaraka . Hili nalo utekelezaji wake ni mgumu kisa unafki wa wengine kujiona bora kuliko kada nyingine.
Mimi naelewa sana labda useme hutaki kunielewa ama unajitia hunielewi

Siungi mkoni marais wanaokaa milele ama muda madarakani nawala siwapingi

Sababu nnavyoamini mimi kilataifa kinauhuru wakuyaamua mambo yao wenyewe kwamifumi nasera wanazozihisi zinafaa

Nandio maana leo hii kupitia demokrasia wazungu wanaona ndoa zajinsia moja nihalali ila nyie waafrika wengi bado munaona hazifai

Jengine hapa nilikua nataka niwaoneshe unafiq wahao mnaowatetea kumuuwa gadafi kwakisingizio chakulinda ama kupeleka demokrasia ndio hao hao wanaotumia nguvu kubwa sana kuyalinda mataifa mnayoyaita yakidikteita yote yaliopo mashariki yakati kuanzia SAUDIA mpaka QATAR nakwengineko (sasa hawa wanataka demokrasia ama wanalinda maslahi yao kwanguvu zozote ikibidi kuuwawa watu wao hawajali!?)

Mfano MISRI ya Muhammed Mursi waliunga mkono mapinduzi ya Alsisi wakati tunajua serikali ilipo madarakani ilikua wanayoitaka wao yakidemokrasia ila akaja sisi ni dikteita
IRAN aliondolewa shah aliokua dikteita akaja alokuja wakamletea figisu
VENEZUELA pia jamaa wanaendabkidemokrasia zengwe haliishi


Pia kama wanahisi mfumo wakupokezana mamlaka ndio mfumo sahihi wangemshinikiza na MALKIA wa UK natawala zote zakifalme ama zinazopokezana madaraka ULIMWENGUNI kwamba waziwe namifumo yakiimla


Endeleeni kuwatetea hao wanaojiona MIUNGU watu kama hawatakaa wafe vile...
 
wakujifunza ni viongozi wa africa, huwezi kukaa madarakan muda mrefu eti kwa sababu unawapa kila kitu.
Mngepaza hzi sauti nakwayule BIBI wa UK mungekua munaeleweka sana ila mmekalia UNAFIQ tu[emoji12][emoji14][emoji12]
 
Hivi hapo wa kulaumiwa ni nani? ni Gadafi kung'ang'ania madaraka au hao waliyokinukisha kwa wao nao pia kutaka madaraka?
wote hawakusoma alama za nyakati na kutokufikirisha bongo zao juu ya madhara wanachokifanya.

1;GADAF alipaswa angejitoa mapema kabisa baada ya kuona kelele zinaanza kuliko kuanza kushindana na kelele

2:Raia nao hawakufikiria kwa kina kwa hiki tunachoenda kukifanya na kutambua madhara yake hapo abadae
 
1)Maji bure 2)Umeme bure 3) Bei ya Mafuta ilikuwa sawa na tshs 200 kwa litre 4)Hamna kodi ya nyumba 5)Elimu bure hadi chuo kikuu na kwa wale waliopendelea kusoma nje pia walilipiwa na serikali 6) Serikali ya Libya ilitoa takribani $ 60,000 karibu milioni 150 kwa kila wanandoa wapya ikiwa ni pesa ya kuanzia maisha.
7) Mwanamke aliyejifungua alipewa dola 5,000
8) Pia endapo mlibya atapata tatizo la kiafya ambalo haliwezi tibika nchini kwake alilipiwa gharama zote za matibabu nje ya nchi na Serikali.
9) Libya ndo nchi iliyokuwa na reserve Kubwa barani Afrika na haikuwa na deni la hata senti. Reserve ya Libya ilikuwa Dola Bilioni 150. N.K.




HAYA YOTE NI BURE KAMA HAKUNA UHURU.
 
Back
Top Bottom