pipi mti
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 764
- 514
Tangu muda mrefu pamekua na hali ya mfananisho wa nani zaidi kati ya Lionel Messi na wachezaji wengine hasa Christian Ronaldo wa real Madrid. Na clip hii imeweza kutatua mjadala wa mda mrefu na naamini itafunga mabishano yasiyo na maana.
[emoji116] [emoji116]
Update
Wachezaji wenye thamani zaidi duniani watajwa. Ambapo Neymar akichukua nafasi ya 1 akifatiwa na Lionel Messi anayechukua nafasi ya 2. Wakati mchezaji wa real Madrid Christian Ronaldo akichukua nafasi ya 49.
Wachezaji wa thamani ya juu zaidi duniani watajwa
Sababu ya Ronaldo kushika namba 49 kwa thamani duniani | Azam | Michezo | Swahili
[emoji116] [emoji116]
Update
Wachezaji wenye thamani zaidi duniani watajwa. Ambapo Neymar akichukua nafasi ya 1 akifatiwa na Lionel Messi anayechukua nafasi ya 2. Wakati mchezaji wa real Madrid Christian Ronaldo akichukua nafasi ya 49.
Wachezaji wa thamani ya juu zaidi duniani watajwa
Sababu ya Ronaldo kushika namba 49 kwa thamani duniani | Azam | Michezo | Swahili