Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ka EPL keno hakana kitu hako Pep anakakimbiza balaaUtajipimeje mchezaji bora kwa kuogopa changamoto . Atoke uko aende EPL uko mbeleko hakuna ataishia kuokota mipira. Hakuna kama cr hata tukimpanga na wewe atachukua tu uefa
Mzee WAAMBIE MANCHESTER CITY WATOE HELA HIZO ,KWANI NEYMAR HAKUUZWAUtajipimeje mchezaji bora kwa kuogopa changamoto . Atoke uko aende EPL uko mbeleko hakuna ataishia kuokota mipira. Hakuna kama cr hata tukimpanga na wewe atachukua tu uefa
[emoji23] [emoji23] huyo atakuwa ni mjinga kabisa kudhani kucheza timu nyingi hudhihirisha ubora zaidiKwani kucheza team nyingi ndio kipimo?
WAAMBIE MANCHESTER CITY WATOE HELA HAKUNAA MCHEZAJI ASIYE UZWA DUNIANIMbona mnatumia nguvu nyingi sana kuonyesha mess bora. MTU toka azaliwe club anayoijua ni bacerona tu akitoka apo baca atakua sawa na frimpong tu yule wa arsenal. Huku mfalme mwenyewe hata nikimleta yanga yeye atang'aa haitaji kumtaja jina
Ameipa uero team yake . ana balond5 mchezaji bora wa dunia 2. Uefa 4 kwa man u 1 kwa real3. Kachukua back to back uefa vitu kama hivo mess kwake ni ndotoKwa vigezo vipi labda!
Timu yake ya Taifa nayo ni Barcelona, acha ushabiki usiokuwa na maana.[
Sijui ulitaka uandike nini kijana ebu rudia tens. Cr kiboko sjawai ona
Bei yake na kiwango chake haviendani watu wanaogopa hasaraWAAMBIE MANCHESTER CITY WATOE HELA HAKUNAA MCHEZAJI ASIYE UZWA DUNIANI
Haya tuseme amecheza Argentina kaifanyia niniMkuu kama club anayo ijua ni Barca, umejuaje kuwa akitoka hataweza ku-perform?
Nakushauri uache uganga, pia uzuri wa mchezaji haupimwi kwa kupita team nyingi
[emoji23] [emoji23] huyo atakuwa ni mjinga kabisa kudhani kucheza timu nyingi hudhihirisha ubora zaidi[/QU
Nenda Argentina ndio ujue messi kwanin hataki kuama bacerona
Eti mbeleko? Hata Gardiola mlisema huyo hawezi fika popote akienda EPL. Ameenda EPL msimu uliopita, mkawa mnsema hakuna kitu huyo Barcelona ilikuwa inambeba ndiyo maana hachaweza kuchukuwa UCL na Bayern. Msimu huu wote kimya...Utajipimeje mchezaji bora kwa kuogopa changamoto . Atoke uko aende EPL uko mbeleko hakuna ataishia kuokota mipira. Hakuna kama cr hata tukimpanga na wewe atachukua tu uefa
Unaelewa maana ya team mkuu? Last world cup messi alikuwa na machango wa magoli mpaka wakafika finalHaya tuseme amecheza Argentina kaifanyia nini
Kifupi anabebwa na team mbona Argentina kacheza miaka zaidi ya kumi hata kombe LA kuku hana. Guadiola kafanya nini pale EPLEti mbeleko? Hata Gardiola mlisema huyo hawezi fika popote akienda EPL. Ameenda EPL msimu uliopita, mkawa mnsema hakuna kitu huyo Barcelona ilikuwa inambeba ndiyo maana hachaweza kuchukuwa UCL na Bayern. Msimu huu wote kimya...
Messi10 anakatiza toka katikati ya uwanja na kuwapita mabeki hadi kwenye goli, alafu eti unakuja na ubishi wa kidwanzi eti kwa 7bu kachezea timu moja.
Kuna uhusiano gani kati ya uwezo binafisi wa kucheza Mpira na kuchezea kilabu 1/tofauti? Je timu yake ya Taifa nayo iko Spain?
Kwani timu za EPL huwa hafungi/hajwahi kufunga ? Nasikia ni Chelsea peke nao wasubiri mwezi ujao tu, utasikia tu...
Acheni ushabiki, mihemko na hoja zisikuwa na mashiko...
Tunasema ndooo fainali hata malouda na evra washafika je nao tusemejeUnaelewa maana ya team mkuu? Last world cup messi alikuwa na machango wa magoli mpaka wakafika final
Ila mkuu hili swala lina mantiki maana kuna wachezaji wakihamaga team wanachuja vibaya mno[emoji23] [emoji23] huyo atakuwa ni mjinga kabisa kudhani kucheza timu nyingi hudhihirisha ubora zaidi
Vikombe ni matokeo ya timu nzima kwa kuwa na timu work ya wachezaji wote. Tatizo watu huwa wanachanganya kati ya "individual performance" na "team performance".Haya tuseme amecheza Argentina kaifanyia nini
Ndio mana tunarudi palepale kua team work UA bacerona ndio inambeba hivo hawezi enda popote zaidi ya kubakia baca hawezi fanikiwa popoteUnaelewa maana ya team mkuu? Last world cup messi alikuwa na machango wa magoli mpaka wakafika final
Mafanikio ya team unayochezea ndio yatakufanya uonekanike bora achana na mahaba Niue . mess nje ya baca hata vpl ya kina manara hawezi chukuaVikombe ni matokeo ya timu nzima kwa kuwa na timu work ya wachezaji wote. Tatizo watu huwa wanachanganya kati ya "individual performance" na "team performance".
Ukiangalia uwezo wa Messi10 (individual performance) uko juu muno, labda uwe mbishi tu wa kuzaliwa.
Hapa tunaongelea uwezo binafisi wa mchezaji na siyo collective performance ya team nzima kama jinsi ambavyo wengi wenu mnakuja na hoja za sijui Fulani kashinda Euro, UCL, n.k...