Optimistic bourgeoisie
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 236
- 280
Hii ndio sababu washabiki wa Madrid hawatak kukubaliana na ukweli[emoji116] [emoji116]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cr7 mungu wa mpira full stopEpl akafanye nini huko!! Yani atoke timu kubwa alafu akajitupe epl.ndiomana nikakuambia timu kubwa na yenye hadhi kwake ni Barca na Real madrid kidogo. Hao wengine watamlipa nini huyu kiumbe,, wakati uwezo huo hawana na timu zenyewe hazina tofauti na za kwetu
Hii ndio sababu washabiki wa Madrid hawatak kukubaliana na ukweli[emoji116] [emoji116]
Tangu muda mrefu pamekua na hali ya mfananisho wa nani zaidi kati ya Lionel Messi na wachezaji wengine hasa Christian Ronaldo wa real Madrid. Na clip hii imeweza kutatua mjadala wa mda mrefu na naamini itafunga mabishano yasiyo na maana.
[emoji116] [emoji116]
Hakuna mungu wa mpira acha kujitoa ufahamu makusudi.Cr7 mungu wa mpira full stop
Nimesema cr7 mungu wa mpira we unasema Mungu. Hakuna kama cr7 kabakiza kombe LA dunia tu mess hata Argentina hawamjuiHakuna Mungu wa mpira acha kujitoa ufahamu makusudi.
Utajipimeje mchezaji bora kwa kuogopa changamoto . Atoke uko aende EPL uko mbeleko hakuna ataishia kuokota mipira. Hakuna kama cr hata tukimpanga na wewe atachukua tu uefa
[emoji23] [emoji23] huyo atakuwa ni mjinga kabisa kudhani kucheza timu nyingi hudhihirisha ubora zaidi lllllllllKwani kucheza team nyingi ndio kipimo?
Mapenzi yakizidi mwisho wake ni ujinga na kukufuru,,utamwitaje binadam Mungu was mpira,, neno Mungu limekua rahisi sana mdomoni mwako,..Cr7 mungu wa mpira full stop
Itabidi apimwe mkojo[emoji23] [emoji23] huyo atakuwa ni mjinga kabisa kudhani kucheza timu nyingi hudhihirisha ubora zaidi lllllllll
Zipi zile za uefalona au unAsema zipiAngalia mechi anazokutana nao EPL
So far ligi bora ni ipi?
[emoji23] [emoji23] huyo atakuwa ni mjinga kabisa kudhani kucheza timu nyingi hudhihirisha ubora zaidi lllllllll[/Q
Changamoto tofauti kuonyesha ubora wako mess sio bora ndio mana hata Argentina kashindwa kuipa ubingwa
Mungu na mungu ni vitu viwili tofauti hacha mihemko ya kidini wakati hata dini huijui. Tofautisha hayo maneno . roMapenzi yakizidi mwisho wake ni ujinga na kukufuru,,utamwitaje binadam Mungu was mpira,, neno Mungu limekua rahisi sana mdomoni mwako,..
Bujibuji ndio kahaba gani uyo tumuijie na masela tupige mtungo?Huyu hana kitu, hatii miguu kwa Bujibuji
Tangu muda mrefu pamekua na hali ya mfananisho wa nani zaidi kati ya Lionel Messi na wachezaji wengine hasa Christian Ronaldo wa real Madrid. Na clip hii imeweza kutatua mjadala wa mda mrefu na naamini itafunga mabishano yasiyo na maana.
[emoji116] [emoji116]
Kwa vigezo vipi labda!Mungu na mungu ni vitu viwili tofauti hacha mihemko ya kidini wakati hata dini huijui. Tofautisha hayo maneno . ro
Cr7 ni mungu wa mpira
Timu yake ya Taifa nayo ni Barcelona, acha ushabiki usiokuwa na maana.Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kuonyesha mess bora. MTU toka azaliwe club anayoijua ni bacerona tu akitoka apo baca atakua sawa na frimpong tu yule wa arsenal. Huku mfalme mwenyewe hata nikimleta yanga yeye atang'aa haitaji kumtaja jina
Mkuu kama club anayo ijua ni Barca, umejuaje kuwa akitoka hataweza ku-perform?Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kuonyesha mess bora. MTU toka azaliwe club anayoijua ni bacerona tu akitoka apo baca atakua sawa na frimpong tu yule wa arsenal. Huku mfalme mwenyewe hata nikimleta yanga yeye atang'aa haitaji kumtaja jina