FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,356
Hajafanya chochote? Argentina umiepeleka Wewe kombe LA dunia 2018?Kifupi anabebwa na team mbona Argentina kacheza miaka zaidi ya kumi hata kombe LA kuku hana. Guadiola kafanya nini pale EPL
Subiri msimu ufike mwisho utajua kafanya nini Gardiola.
[n]Kifupi usimpenda kaja ....hata umchukie vip huwezi badili chochote...