Kawao
Kawapiku kwa lipi babu mbona unapiga kelele tu na mahaba niue yako. Cr mfalme hajabakiza kitu chini ya jua sio EPL LA liga uefa uero na uchafu wote ambao mess itabaki simulizi kwake na kwenuKuna watu wabishi duniani acha tu. Messi anachukiwa kwa sababu kawapiku wakina maradona, pele, zidane, de stefano, requelme, puskas, cr7, di lima, gaucho n.k
Mtaongea sana tu lakini habari ndio hiyo, mtake msitake. hapo Messi ndiye anawaongozea hao niliowataja hapo juu. King of the kings