Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,799
- 4,226
Mchawi wa soka[emoji115][emoji115]mkuu unaleta mjadala mpya kuhusu Messi10?
Mbona hilo lilishajadiliwa na jibu Lake kila mtu anajua kuwa King ni mmoja tu.
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchawi wa soka[emoji115][emoji115]mkuu unaleta mjadala mpya kuhusu Messi10?
Mbona hilo lilishajadiliwa na jibu Lake kila mtu anajua kuwa King ni mmoja tu.
![]()
BarabaraKwaiyo uunaamini Messi akihama atachuja?
Kwani nani kasema Mane hajaipeleka? Tatizo Wewe ni MBAGUZI. BAKI NA UBAGUZI WAKOHa
Hata mane kaipeleka Senegal kombe LA dunia
Maneno yalisemwa hata kwa guardiola kwamba hawezi fanya vizuri nje ya Barca tena wakasema ligi ya Uingereza anaikwepa ila leo hii wanaweza kusema nini kwa rekodi yake hapo hapo EPL?Ila mkuu hili swala lina mantiki maana kuna wachezaji wakihamaga team wanachuja vibaya mno
Muulize ndugu yako Marcelo atakuhadithia vizuri tu habari zafalme wa soka wa mda wote, King Messi10.Barabara
KabisaBaada ya chama langu ITALY kutolewa, nitamsapoti MESSI & ARGENTINA yake WC 2018.
Ukiiondoa UJERUMANI, basi ARGENTINA ingeweza kutwaa ubingwa kirahisi.
Kikwazo ni haya Majerumani kama ilivyokuwa WC 2014.
Nafikiri kombe hili akilibeba litafunga midomo ya wale wenye husuda, akina Pele & co.
Mchawi tu weweMafanikio ya team unayochezea ndio yatakufanya uonekanike bora achana na mahaba Niue . mess nje ya baca hata vpl ya kina manara hawezi chukua
Hivi unaijua Argentina ya Messi iliyochukua Medali ya Dhahabu kwenye Olimpiki 2008?Kifupi anabebwa na team mbona Argentina kacheza miaka zaidi ya kumi hata kombe LA kuku hana. Guadiola kafanya nini pale EPL
[emoji23] [emoji23] [emoji23] labda hapo wataelewa vemaMuulize ndugu yako Marcelo atakuhadithia vizuri tu habari zafalme wa soka wa mda wote, King Messi10.![]()
Yes maana utakutana na watu wapya,uongozi mpya na mashabiki wapya fomula ya mpira mpya n.k haihitaji nguvu nyingi kufikiriaKwani kucheza team nyingi ndio kipimo?
Wiki iliyopita kafunga nani?Asa hilo goli mbona la kawaida Tu na wachezaji kibao wanafunga hizo solo goals kila week
Unamaanisha, Suarezi ni mchezaji bora kuliko Messi?Yes maana utakutana na watu wapya,uongozi mpya na mashabiki wapya fomula ya mpira mpya n.k haihitaji nguvu nyingi kufikiria
Team yake ya taifa mfano toshaAlichezea club gani hakufanikiwa?
Ukiangalia hilo hata di maria alimstaafisha puyo au ulikua sitimbi kipindi ichoMuulize ndugu yako Marcelo atakuhadithia vizuri tu habari zafalme wa soka wa mda wote, King Messi10.![]()
Walisema kwamba Xavi akitoka na Iniesta ndo mwisho wa Leo Messi ila ndo kwanza anawasha moto ... tofautisha kipaji na wale watu wanafanya mazoezi ybizana na Magari
Olyimpik ndio kombe gani ushanza kuleta mabonanza APA . atuletee hata copa america kama cr7 alivotuletea ueroHivi unaijua Argentina ya Messi iliyochukua Medali ya Dhahabu kwenye Olimpiki 2008?