Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Baada ya kumchapa mwarabu nyumbani kwake hapo jana Yanga SC na kufanikiwa kutwaa ubingwa wa medali hatimaye wamerejea nchi na ubingwa wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkane kavaa medali kampita hadi onyangoBaada ya kumchapa mwarabu nyumbani kwake hapo jana Yanga SC na kufanikiwa kutwaa ubingwa wa medali hatimaye wamerejea nchi na ubingwa wao.
View attachment 2646333
View attachment 2646334
Report yako ya msimu hiyoBaada ya kumchapa mwarabu nyumbani kwake hapo jana Yanga SC na kufanikiwa kutwaa ubingwa wa medali hatimaye wamerejea nchi na ubingwa wao.
View attachment 2646333
View attachment 2646334
Medali inatofauti gani na shanga wanazovaa wanawake.Nkane kavaa medali kampita hadi onyango
Bora nyie simba mshachukua makombe dah inabidi tujifunze kwenu na msimu huu umeyabeba piaHiyo timu ni kituko cha mwaka
Wengine wana malengo ya kutwaa kombe wao malengo ni kiatu cha mfungaji bora, man of the match na medali ya mshindi wa pili
😡😡😡😡😡🫤☹️🫤☹️😐😆 😆 😆 😆 😆
Nilikua sitaki kucheka..
Kesho wanatimba ikulu...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MEDALI BILA KOMBE NI HIRIZI TUBaada ya kumchapa mwarabu nyumbani kwake hapo jana Yanga SC na kufanikiwa kutwaa ubingwa wa medali hatimaye wamerejea nchi na ubingwa wao.
View attachment 2646333
View attachment 2646334
Mashabiki wengi wa simba wasipopata matibabu ya haraka, watageuka na kuwa wachawi.Timu iliyopoteza malengo inawacheka waliofanikisha malengoView attachment 2646357
Kwahiyo tunapaswa kufurahia medali? Medali ni tunu binafsi za wachezaji, lingekuwa ni kombe angalau tungesimama kama taifa.Mashabiki wengi wa simba wasipopata matibabu ya haraka, watageuka na kuwa wachawi.
Wameingiwa na wivu wa ajabu sana uliosababishwa na mafanikio ya Yanga msimu huu.
Hingereni kwa kutwaa ubingwa wa medaliMashabiki wengi wa simba wasipopata matibabu ya haraka, watageuka na kuwa wachawi.
Wameingiwa na wivu wa ajabu sana uliosababishwa na mafanikio ya Yanga msimu huu.