Hatimaye Mahasimu wa Muda Mrefu Jay Z na Nas wamekutana tena kwenye Album ya Dj Khaleed

Hatimaye Mahasimu wa Muda Mrefu Jay Z na Nas wamekutana tena kwenye Album ya Dj Khaleed

Huyo dogo hamjui Nas Escobar vizuri tumemsamehe tu .

Huyo Jay Z wake aliwahi omba yaishe baada ya kuwa "ethered" na Bwana nassir Orudala Jones

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hahahaha, Ethered bwana Hugambino anamkashifu Jay, "You love my style nigga"
Bwanaa bwanaaa, kuna kitoto humu ndani kishawahi kusema EMINEM is overrated.......
Yani mwisho wa siku unaweza ukashikwa na hasira kuona aina hii ya utovu wa nidhamu.
 
Back
Top Bottom