Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji mhimu wa Mariupol. Umuhimu wa tukio hili ni kuwa hii inawakilisha kushindwa wa wanazi mamboleo wenye itikadi kali. Wanazi hawa waliokuwa wanaulinda mji huo ndio walikuwa lengo la Putin la "denazification".

Kwa hiyo lengo hilo linakuwa limetimia. Lakini pia kutekwa kwa mji huo utasababisha Crimea kuwa na njia ya nchi kavu kuelekea jimbo la Donbass lililojitangazia uhuru. Lakini pia inaifanya Ukraine kukosa mlango wa kuingilia baharini na kuifanya kuwa landlocked.

Wanazi hawa wamshukuru Putin aliyezuia mipango ya kamanda wa urusi aliyetaka kusawazisha majengo yote ya Kiwanda cha chuma cha pua ambako wapiganaji wa kinazi wa ukraine wamejichimbia. Putin akasema maadam mmeteka sehemu zote, wazingireni tu kwenye hayo majengo ya kiwanda watajifia wenyewe au kujisalimisha.

Bila hivyo saa hii dunia ingetaharuki. Maana wanazi hao wanawashikilia pia raia kama 1000 kama ngao yao. Ukisawazisha kiwanda hicho na raia wote hao wanakufa. Raia wataendelea kupewa nafasi ya kutoka japo wanazi wamekuwa wakiwazuia. Ona hapa:

Mariupol captured — Russia​

About 2,000 encircled militants, at Azovstal steel plant, are last Ukrainian hold-outs, Putin is told
Mariupol captured — Russia

The territory of the Azovstal steel plant in Mariupol. © Sputnik / Ilya Pitalev
Russian forces have fully captured the key Donbass Black Sea port-city of Mariupol, Defense Minister Sergey Shoigu told President Vladimir Putin on Thursday.

Wapiganaji hao wa kinazi wameomba jumuia ya kimataifa isimamie utokaji wao wakiwa na silaha zao kwenye kiwanda hicho, jambo ambalo urusi imekataa.

Imesema aidha wajisalimishe au waishie humo! Inasemekana wameishiwa chakula na maji maana walizingirwa tangu mwanzoni mwa mwezi wa tatu, sema tu walikuwa na akiba kubwa ya silaha na vyakula.

Hakuna upenyo wa kuwafikishia misaada!
 
Ukrainian forces holed up at the Azovstal steel plant in the Black Sea port city of Mariupol have outlined their conditions to leave the besieged location.

Late on Wednesday, Svyatoslav Palamar, the deputy commander of the neo-Nazi Azov regiment, released a new video address, stating that the troops were ready to leave the plant with the support of an unspecified “third party.” The fighters want to keep their personal weapons, as well as to evacuate their wounded.

Hawa wanaleta madai yasiyokubalika kwenye muktadha wa vita. Unayepigana naye akikuzidi nguvu ni kusal;imu amri tu na siyo kuleta masharti. Haiwezekani akuachie utoke na silaha zako uende unakotaka halafu ukajipange upya kisha urudi tena kwenye mapambano! Urusi imesema HAPANA!!
 
Ukrainian forces holed up at the Azovstal steel plant in the Black Sea port city of Mariupol have outlined their conditions to leave the besieged location.

Late on Wednesday, Svyatoslav Palamar, the deputy commander of the neo-Nazi Azov regiment, released a new video address, stating that the troops were ready to leave the plant with the support of an unspecified “third party.” The fighters want to keep their personal weapons, as well as to evacuate their wounded.

Hawa wanaleta madai yasiyokubalika kwenye muktadha wa vita. Unayepigana naye akikuzidi nguvu ni kusal;imu amri tu na siyo kuleta masharti. Haiwezekani akuachie utoke na silaha zako uende unakotaka halafu ukajipange upya kisha urudi tena kwenye mapambano! Urusi imesema HAPANA!!
Wacha wafe kwa njaa na magonjwa, inasemwa kuna wanajeshi zaidi ya 500, ni majeruhi na hakuna dawa viva Putin
 
Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji mhimu wa Mariupol. Umuhimu wa tukio hili ni kuwa hii inawakilisha kushindwa wa wanazi mamboleo wenye itikadi kali. Wanazi hawa waliokuwa wanaulinda mji huo ndio walikuwa lengo la Putin la "denazification".

Kwa hiyo lengo hilo linakuwa limetimia. Lakini pia kutekwa kwa mji huo utasababisha Crimea kuwa na njia ya nchi kavu kuelekea jimbo la Donbass lililojitangazia uhuru. Lakini pia inaifanya Ukraine kukosa mlango wa kuingilia baharini na kuifanya kuwa landlocked.

Wanazi hawa wamshukuru Putin aliyezuia mipango ya kamanda wa urusi aliyetaka kusawazisha majengo yote ya Kiwanda cha chuma cha pua ambako wapiganaji wa kinazi wa ukraine wamejichimbia. Putin akasema maadam mmeteka sehemu zote, wazingireni tu kwenye hayo majengo ya kiwanda watajifia wenyewe au kujisalimisha.

Bila hivyo saa hii dunia ingetaharuki. Maana wanazi hao wanawashikilia pia raia kama 1000 kama ngao yao. Ukisawazisha kiwanda hicho na raia wote hao wanakufa. Raia wataendelea kupewa nafasi ya kutoka japo wanazi wamekuwa wakiwazuia. Ona hapa:

Mariupol captured — Russia​

About 2,000 encircled militants, at Azovstal steel plant, are last Ukrainian hold-outs, Putin is told
Mariupol captured — Russia

The territory of the Azovstal steel plant in Mariupol. [emoji2398] Sputnik / Ilya Pitalev
Russian forces have fully captured the key Donbass Black Sea port-city of Mariupol, Defense Minister Sergey Shoigu told President Vladimir Putin on Thursday.

Wapiganaji hao wa kinazi wameomba jumuia ya kimataifa isimamie utokaji wao wakiwa na silaha zao kwenye kiwanda hicho, jambo ambalo urusi imekataa.

Imesema aidha wajisalimishe au waishie humo! Inasemekana wameishiwa chakula na maji maana walizingirwa tangu mwanzoni mwa mwezi wa tatu, sema tu walikuwa na akiba kubwa ya silaha na vyakula.

Hakuna upenyo wa kuwafikishia misaada!
huwezi kusikia taarifa kama hii kwenye media and propaganda machine za US na washirika wao. Go Go putin.
 
Mariupol ni mji wa bandari, viwanda na utalii. Unangiza pato kubwa Sana la nchi kuliko mji wowote ule ndani ya Ukraine.

Ni sawa na ilivyo dar, kwa Tanzania
Mariupol Ni mji muhimu Sana kiuchumi kwa Ukraine kuliko hata ilivyo Kiev (makao makuu ya nchi),

Ni sawa na uitenganishe dar na jamuhuri ya muungano waTanzania,
afu Raisi akimbie akajichimbie uko dodoma makao ya nchi
Afu aseme
"bado tuko vizuri, MAKE TANZANIA GREAT AGAIN"

Kiufupi,
Ukraine kuchukuliwa mariupol Ni wameididimiza Sana kiuchumi[emoji26]
 
Mariupol ni mji wa bandari na viwanda,
Uangiza pato kubwa Sana la nchi kuliko mji wowote ule ndani ya Ukraine.

Ni sawa na ilivyo dar, kwa Tanzania
Mariupol Ni mji muhimu Sana kiuchumi kwa Ukraine kuliko hata ilivyo Kiev,

Ni sawa na uitenganishe dar na jamuhuri ya muungano waTanzania,
afu Raisi akimbie akajichimbie dodoma makao ya nchi afu aseme MAKE TANZANIA GREAT AGAIN

Kiuchumi,
Ukraine kuchukulia mariupol Ni wameididimiza Sana[emoji26]
Subiri nimuite mtu hapa figganigga
 
Putin kaagiza kiwanda cha chuma cha pua ambako askari wa kinazi wa ukraine wamejichimbia, badala ya kukisambaza kwa mabomu ya nguvu, wakizingire vilivyo kiasi ambacho HATA INZI HAWEZI KUPENYA. Waliozingirwa watajiishia wenyewe kwa wakati wao. Ila watakuwa wanapewa fursa ya kujisalimisha, wakigoma watajiishia wenyewe.

There is no need to climb into these catacombs and crawl underground through these industrial facilities. Block off this industrial area so a fly cannot get through."
"Yes sir," Shoigu replied.

Putin said that Russia would offer the Ukrainian defenders still in the plant to lay down arms.

"The Russian side guarantees their lives and decent treatment in accordance with the relevant international legal acts," he said. "All those who are injured will receive qualified medical assistance."
 
Back
Top Bottom